Mapenzi ya kweli bado yapo.

Mapenzi ya kweli bado yapo.

Usawa huu kumpata mwanamke mwenye mapenzi ya kweli ni zali km alopata Bikira Maria la kubeba mimba pasipokukutana na mwanaume,wengine umu wanasingizia et wanadanganywa ,tumewashuudia ambao wameolewa kwa kufahamiana sana kiasi kwamba mwanaume haitaji wala kuelezwa juu ya maisha yake,lakini pale ndani uchumi unapoyumba mke anabadilika nakua fisi ndani ya nyumba na asa kwa wanawake walioajiliwa tabu sana awa kuishi nao vizur usiyumbe kiuchumi yan atakama ulimsomesha ww nakumtaftia kaz atabadilika mpaka utatamani uame nyumba.Wanaume wengi wanavumilia kwa sababu ya watoto tu vinginevyo nibalaa tupu.
 
Mapenzi ya dhati bado yapo lakini yanazidi kupungua.

Habari wanabodi, leo nilikua nasoma uzi flani hivi ukanikumbusha miaka kadhaa nyuma.

Kipindi tupo chuo mwaka wa pili, room mate alikutana na mkaka mmoja hivi katika kuelezana unakaa wapi na unafanya kazi gani, yule kaka akasema yeye ni boda boda....basi bibie baada ya muda flani wakaanza date na yule kaka.

Basi kama kawaida ya wadada tukawa tunashangaa tu mbona kakutana na watu wengi wenye wadhifa lakini kawakataa kamkubali bodaboda ila msimamo wake ilikua ni anampenda yule kaka.

Baada ya miezi 6 yule kaka akaja kumuambia ukweli yeye sio boda boda ni mhasibu mkuu ofisi flani hivi ya serikali, na alimuambia vile ili kumtega kama kweli anampenda.

Now wameoana na wana watoto 2 na wanaishi kwa furaha na amani kwenye ndoa yao.

Kaka zangu wanawake wenye mapenzi ya dhati bado wapo, huwa nikisoma humu comments mbali mbali naona wanaume wengi hawaamini kama bado kuna wanawake ambao fedha kwao sio kipaumbele.
 
Hivi mnaishi dunia ipi wenzetu!!! Mie mifano ninayo kibaooooo, rafiki yangu ana masters kaolewa na std 7,yaani walianzia chini sana leo wapo pengine kabisa, mwingine ana degree na mumewe ana diploma na wanaishi maisha yao vyema tu, mwingine ana degree mumewe pia ana degree,binti ana kazi nzuri mumewe ndio kwanzaa anahangaika na vibiashara maana alikosa ajira nk nk nk nk!!!

Saa nyie mnaolalamika ndio nashindwa kuwaelewa, basi ninyi ndio tatizo.
Ila mbona unajichanganya umesema mwanaume huna pesa za kutosha unajitakiaje kuoa,..
Nyie hamjielewi, sasa kama mtu anauza mchicha pesa zinajitoshelezeshaje apo, we kubali kataa hakuna mapenzi ya dhati, tunasaidiana kula ngano tu tujaze vitambi,
 
Ila eli katika Hip hop kuna kauli tunasema ukiona shabiki ni kuku basi watemee pumba au mchele wadonoe...

Wanaume wanawaambia wanawake wanachotaka kuskia
Hapana, mnawaambia kile mnachotamani kuwa ila hamtumii juhudi kuwa hivyo.
 
Unasema wanawake wanapenda kuwalaumu ilihali Kila comment yako unalaumu, sasa hapo sijui tatizo ni nani?!!!!!
Mi lawama zangu labda zimekuja kutokana na experience so, by any chance tatizo liko upande wangu to forgive, lakini kila siku naona matukio mengi mengi wanawake kukosa utu kweny mapenzi hata ndoa, kwa iyo kulaumu kwangu kuna mantiki,
 
Usawa huu kumpata mwanamke mwenye mapenzi ya kweli ni zali km alopata Bikira Maria la kubeba mimba pasipokukutana na mwanaume,wengine umu wanasingizia et wanadanganywa ,tumewashuudia ambao wameolewa kwa kufahamiana sana kiasi kwamba mwanaume haitaji wala kuelezwa juu ya maisha yake,lakini pale ndani uchumi unapoyumba mke anabadilika nakua fisi ndani ya nyumba na asa kwa wanawake walioajiliwa tabu sana awa kuishi nao vizur usiyumbe kiuchumi yan atakama ulimsomesha ww nakumtaftia kaz atabadilika mpaka utatamani uame nyumba.Wanaume wengi wanavumilia kwa sababu ya watoto tu vinginevyo nibalaa tupu.
Tumeshuhudia wanaume wengi mwanamke anampenda akiwa kapuku tena lofa kweli kweli, wakipata mali wanaume wanabadilika wanakuwa malaya,wanakuwa na dharau na hata kuzitelekeza familia kabisa.

Si ni blame game right!!!!
 
Ila mbona unajichanganya umesema mwanaume huna pesa za kutosha unajitakiaje kuoa,..
Nyie hamjielewi, sasa kama mtu anauza mchicha pesa zinajitoshelezeshaje apo, we kubali kataa hakuna mapenzi ya dhati, tunasaidiana kula ngano tu tujaze vitambi,
Hivi umesoma ukanielewa kweli!! Muuza mchicha anajitosheleza kulingana na hali yake. Akiamua kuoa basi atakuwa amajiona anajitosheleza na anaweza kuoa.
Ila wewe umesema pesa hazikutoshelezi,sasa hazikutoshelezi unaoa ili!!! Huoni kama hapo wewe ndio tatizo? Utoshelevu ni dhana dogo hebu elewa hata hilo dogo.
 
Back
Top Bottom