ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Kwa hiyo ndio unaomba Hilo litokee kwa kuwa wewe si mtumiaji wa usafiri huo?
Au hata gari wakuu nani amewahi sikia imepigwa radi ikiwa inatembea?
Nijuavyo ndege ina ruka 30,000ft sasa ni juu zaidi ya hayo mawingu .....Mi nimekuwa nikijiuliza sana kuwa iweje radi iko mawinguni lakini sijawahi kusikia imepiga watu waliomo ndani ya ndege au kusambaratisha ndege badala yake inawinda chini ya ardhi tu? Au kwanini sijawahi kusikia radi imepiga Dar es salaam. Mi naona ni mauzauza ya kichawi tu!!
Muonee huruma mwenzako maana wengi hawajui hayo mawingu wanayoyaona yapo karibu sana kiasi ndege ikiruka inayaacha chini...siku akipanda ndege atajifunza kitu mkuu ni maswali ya kidadisi tu hayowewe naye umeambiwa juu kuvuka mawingu ya mvua inamaana hata kukiwa na mawingu huko sio ya mvua soma climatology aina za clouds
Maeneo mengi ya shule huwa kuna miti mingi mirefu na radi huwa ina mtindo kupiga ile sehemu ambayo ipo juu hivyo nahisi ndio sababu kwanini inaleta madhara zaidi mashuleni (ngoja wataalam waje zaidi)Kwenye mada hii niwajulishe tu kuwa asilimia kubwa ya sehemu zinazopigwa na radi ni shule za msingi, kwanini hata mimi sijui.
Upande wa magharibi mwa nchi ndipo pepo mbili hukutana, yaani upepo kutoka mashariki(bahari ya Hindi) na upepo kutoka magharibi (bahari ya Atlantic).Hivyo basi,mgongano wa hizo hewa ndo unazalisha radi even if hakuna mvua au mawingu.Hii ni kijiografia zaidi sio ushirikina.Radi inapendelea mikoa yenye milima,pia kwa kanda ya ziwa na magharibi radi zingine n za ulozi
Mawingu yapo ila ndege hasa masafa marefu inapaa mawingu utayaona kuleee chini kabisaInamaana hakuna mawingu juu,sasa kuna nini?
Kwenye gari hasa malori makubwa au mafuso kuna kama mnyororo hivi huwa una ning'inia chini ya uvungu wa gari, chunguza utauona..ingawa utaniuliza vitz na ist vipi?Au hata gari wakuu nani amewahi sikia imepigwa radi ikiwa inatembea?