Recent content by anaplasmosis

  1. A

    Tunaomba majipu yatumbuliwe wilaya ya Mkalama

    Kuna idara katika halmashauri ya wilaya ya Mkalama zimekuwa zikiwanyanyasa watumishi wa ngazi za chini, kwa kutokuwalipa stahiki zao, fedha za uhamisho, kupandishwa madaraja, fedha za nauli na hata yanapotokea mafunzo ya miradi mbalimbali hufanya ujanja ujanja tu, na mwisho wa siku wanatia ndani...
  2. A

    Makamba: Lowassa ni mroho wa madaraka

    hata ww makamba n mroho wa madaraka pamoja na ccm yako, ongeleeni sera zenu acheni majungu na mipasho..
  3. A

    Yaliyojiri Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA - Mwanza

    Mwaka huu kila jina mtawaita watanzania, kama ccm unaweza kuwaita watanzania wenzio mateja, waliofanya watu hapo kuwa mateja ni viongozi wa ccm hii ni hatari sana.. Naichukia ccm.
  4. A

    Kingunge Ngombale Mwiru avuliwa ukamanda UV-CCM Taifa

    Kila aliyekuwa ccm nakuongelea maslai ya wananchi na taifa kwa ujumla anaonekana sio mtu mzuri kwenye chama na kuwekea vipingamizi na vikwazo na kufanya nipango ya kumwondoa na ikionekana anageukia upande wa pili anaitwa fisadi, hii inaleta picha kwamba ccm kuna mafisadi wengi na mfumo wao ni...
  5. A

    CCM mkimaliza haya maigizo ya kitoto mjue sisi ndie tunalipa bili, sasa tumeshindwa

    Nadhan kwa ccm hapa inatosha ndio mwsho wao, tumechoka kunyanyasika, kipindi cha kupeana madaraka sasa kimefikia ukikongoni, na ukimuona mtu anatetea ccm ujue huyo yupo kwaajili ya tumbo lake na maccm yake na sio taifa kwa ujumla, bila kutumia nguvu na kuumiza akili sana katika kutamka maneno...
  6. A

    Majambazi wavamia Benki ya Stanbic tawi la Mayfair, Msasani

    wakulima wanahimizwa kulima na kuzalisha mzao ya kutosha, mazao yanaptikana yakutosha, serikali inashindwa hata kutenga mafungu na kununua mazao na kuuza soko la nje, kama mkulima analima na kuzalisha mazao ya kutosha na bei ni 18000 kwa gunia, unategemea kijana atarudi kijijini kujishughulisha...
  7. A

    Sitta: Nafaa kuwa Rais wa Tanzania!

    Kwa sasa alipofikia, amalizie muda wake tu akapumzke kjjn.
  8. A

    Decoder ipi nzuri kati ya hizi

    Azam dicorder ya fta ikoje..!
  9. A

    Young Killer Vs Young D nani mkali ?

    Young D anatisha, namkubal kurap na style.
  10. A

    Vitu hivi humfurahisha mwanamke

    Kaka hiyo labda mbele na sio bongo, utafanya kila k2 akiamua kkusalit anakusalit hawana mana hawa viumbe, sina hamu nao!
  11. A

    Kwanini kila Mwanaume hutaka kulala nami before

    mm mwenyewe natafuta msichana wa namna hyo, kudo mpaka 2takapooana kama upo tayar npm 2we 2nawacliana.,npo serious kwa hlo..
  12. A

    Dk. Slaa azidi kuchanja mbuga; atoa maagizo nchi nzima 'waraka' wa uasi

    Leo j2, tar 22.12.2013., yupo kata ya IGUGUNO, wilaya ya MKALAMA,mkoa wa SINGIDA, muda wa mkutano saa 3:00 asubuhi...karbuni wote wakazi wa kata jirani kama vile kikhonda, ughandi, kinyangiri, msingi na kote maeneo ya jirani kwa ujumla..ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzako...PEOPLES POWER
  13. A

    Cesc Fabregas vs Mesut Ozil

    Ozil..................................................................!
  14. A

    Live Updates: Uchaguzi wa Kata nne Arusha tarehe 14 July 2013

    Tupe mambo mkuu muda ukifka...!
Back
Top Bottom