Kuna idara katika halmashauri ya wilaya ya Mkalama zimekuwa zikiwanyanyasa watumishi wa ngazi za chini, kwa kutokuwalipa stahiki zao, fedha za uhamisho, kupandishwa madaraja, fedha za nauli na hata yanapotokea mafunzo ya miradi mbalimbali hufanya ujanja ujanja tu, na mwisho wa siku wanatia ndani...
Mwaka huu kila jina mtawaita watanzania, kama ccm unaweza kuwaita watanzania wenzio mateja, waliofanya watu hapo kuwa mateja ni viongozi wa ccm hii ni hatari sana.. Naichukia ccm.
Kila aliyekuwa ccm nakuongelea maslai ya wananchi na taifa kwa ujumla anaonekana sio mtu mzuri kwenye chama na kuwekea vipingamizi na vikwazo na kufanya nipango ya kumwondoa na ikionekana anageukia upande wa pili anaitwa fisadi, hii inaleta picha kwamba ccm kuna mafisadi wengi na mfumo wao ni...
Nadhan kwa ccm hapa inatosha ndio mwsho wao, tumechoka kunyanyasika, kipindi cha kupeana madaraka sasa kimefikia ukikongoni, na ukimuona mtu anatetea ccm ujue huyo yupo kwaajili ya tumbo lake na maccm yake na sio taifa kwa ujumla, bila kutumia nguvu na kuumiza akili sana katika kutamka maneno...
wakulima wanahimizwa kulima na kuzalisha mzao ya kutosha, mazao yanaptikana yakutosha, serikali inashindwa hata kutenga mafungu na kununua mazao na kuuza soko la nje, kama mkulima analima na kuzalisha mazao ya kutosha na bei ni 18000 kwa gunia, unategemea kijana atarudi kijijini kujishughulisha...
Leo j2, tar 22.12.2013., yupo kata ya IGUGUNO, wilaya ya MKALAMA,mkoa wa SINGIDA, muda wa mkutano saa 3:00 asubuhi...karbuni wote wakazi wa kata jirani kama vile kikhonda, ughandi, kinyangiri, msingi na kote maeneo ya jirani kwa ujumla..ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzako...PEOPLES POWER
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.