What is she doing in return❓❗
What is she doing in return❓❗
Yaani inaprove asigongwe na gari !Siyo lazima uwe tajiri, kama huna hilo gari basi hakikisha mkiwa mnatembea barabarani asiwe upande wa magari. That does not cost a single cent.
Yaani inaprove asigongwe na gari !
Ee sasa si ataona unamjali lol!!
huku kwetu park nyigoti serengeti faaanya hayo yote ni kazi bure, usipomlamba makofi wala haoni kama unampenda kabisaaaa....ukimwangalia mwangalie machoni na sio maziwa wakati mkizungumza.
Mkienda mahala kutulia vuta kiti akae halafu wewe ndo ukakae.
Mkitembea barabarani asiwe upande wa magari.
Anapenda ukimfungulia mlango wa gari.
Mpe zawadi kama chocolates,juice,kaua anapenda sio miboxi ya minguo,mijeans.
Cheka hata kama hakichekeshi.
Anapenda kuongea we msikilize.
Mpe vitu vya rangirangi yupo navyo by nature.
Always msifie yeye tu na mwambie wengine hawana ambacho kwake kipo.
Anapenda uwe smart.
Anapenda viatu,have nice shoes.
Jokes zisiwe too much,hapendi mtu anaongea hamalizi.
Anapenda,mawazo ,mapenz na utani kidogo.
Mletee vitu ambavyo hupendelea bila ye kukuagiza.
Muulize upo wapi,unaendeleaje hapo unamjali.
Usikorofishane naye akili zao unazijua.
P.::
Ukimwangalia mwangalie machoni na sio maziwa wakati mkizungumza.
Mkienda mahala kutulia vuta kiti akae halafu wewe ndo ukakae.
Mkitembea barabarani asiwe upande wa magari.
Anapenda ukimfungulia mlango wa gari.
Mpe zawadi kama chocolates,juice,kaua anapenda sio miboxi ya minguo,mijeans.
Cheka hata kama hakichekeshi.
Anapenda kuongea we msikilize.
Mpe vitu vya rangirangi yupo navyo by nature.
Always msifie yeye tu na mwambie wengine hawana ambacho kwake kipo.
Anapenda uwe smart.
Anapenda viatu,have nice shoes.
Jokes zisiwe too much,hapendi mtu anaongea hamalizi.
Anapenda,mawazo ,mapenz na utani kidogo.
Mletee vitu ambavyo hupendelea bila ye kukuagiza.
Muulize upo wapi,unaendeleaje hapo unamjali.
Usikorofishane naye akili zao unazijua.
p.::
cc romantic eyes.. kuna kitu kimekosekana hapo?
usicheke kama nilichoongea hakikuchekeshi
yes usiwe mkorofi lakini nikikukosea tell me straight kwa sauti ya kiume "sipendi hiki na hiki"...sio kwa kujilalamisha like "babe why are you doing this to me"
pia ugomvi wetu uishie ndani tu sio kitu kidogo mbio kwa rafiki au dada "unaona tabia ya mdogo wako??" hapana kwa kweli.