Recent content by Amperius kajuna

  1. Amperius kajuna

    Jamaa apambana na wanajeshi baada ya kumkuta na magwanda yao

    Kwa tanzania unaweza kuacha kazi ya jeshiii
  2. Amperius kajuna

    Tanzania kuna sheria inayoruhusu mwanajeshi kuacha kazi ya jeshi?

    Jamani naombwa kufahamishwa kitu hiki, hivi kwa Tanzania unaweza mwanajeshi kuacha jeshi kuna sheria inayomruhusu?
  3. Amperius kajuna

    Magufuli ataligharimu taifa, wengi wanafurahia pasipo kujua athari mbeleni

    Mafisadi ni wengi kumbeee hata humu kuna mafisadi wengiiii
  4. Amperius kajuna

    Gazeti la Nipashe limepotosha vikali

    Nyie ndo walewale tyuu
  5. Amperius kajuna

    Mke wa Trump kichwa wazi Saudi Arabia

    Tatizo nyie mnapenda dini yenu kuheshimiwa je ya wenzenu. Mbona hamuiheshimu??? Mara. Ni makafhilii
  6. Amperius kajuna

    Mbegu za ngogwe(nyanya chungu)

    Mi nipo mwanza nyegezi malimbe naomba kuelekezwa wauzaji wa miche ya mbogamboga kama nyanya chungu na n.k. sim no 0746465455
  7. Amperius kajuna

    Naomba kufahamishwa historia ya Mr bean

    Naomba kufahamishwa historia ya mr bean maaru kwa jina hilo huyo bwana at inkson
  8. Amperius kajuna

    INDIA: Wanafunzi wa Kiafrika kupeleka malalamiko yao rasmi AU kuhusu ubaguzi wa rangi

    Tatizoo wewe unaangalia uliyofanyiwa wewe ila haya majamaa yana roho mbayaaa kinyamaaa
  9. Amperius kajuna

    INDIA: Wanafunzi wa Kiafrika kupeleka malalamiko yao rasmi AU kuhusu ubaguzi wa rangi

    Hawa ni watu wenye dharau mnoo subiri niingie madarakani kama raisi hawa ntakomaa nao tyu mpaka wanyooke
  10. Amperius kajuna

    INDIA: Wanafunzi wa Kiafrika kupeleka malalamiko yao rasmi AU kuhusu ubaguzi wa rangi

    Yaani wewe ndo upo gizani kabisa wazungu ni kama kunguni kwa mwafrika.
  11. Amperius kajuna

    Kujitolea kazi ya ufundi umeme

    Ndugu kama nilivyo kwambia mimi ni fundi umeme nimehitimu mafunzo ya ufundi umeme mwaka 2015 ila sijafanikiwa kupata nafasi nzuri ya kutumia ufundi wangu hivyo naomba mwenye kuhitaji kunisaidia. Nipo mwanza nyamagana mkolanii kwa simu no 0746565455 naweza kufanya kazi yeyote kwenye kampuni...
  12. Amperius kajuna

    INDIA: Wanafunzi wa Kiafrika kupeleka malalamiko yao rasmi AU kuhusu ubaguzi wa rangi

    Yaaaani. Hao watu wanatudharau sana watu weusi kwanza ipo siku nikiwa raisi wa nchi yangu ntafanya mapinduzi ya maaana
  13. Amperius kajuna

    Naomba kufahamishwa blogu/tovuti ninazoweza kupata historia za watu mashuhuri duniani

    Naomba mnifahamishe blog ambayo unaweza kupata historia za watu mbalimbali mashuhuri duniani maana napenda kufuatilia historia zaooo please naomba kufahamishwa msaada zaidi naombaaa thanks
  14. Amperius kajuna

    Fundi umeme naomba msaadà

    Sehemu yoyote naweza kufanya kazii
  15. Amperius kajuna

    Fundi umeme naomba msaadà

    Hapana sehemu yeyote naweza kufanya kazii
Back
Top Bottom