Hakuna cha ajabu kuhusu hao watoto. tatizo kama taifa tumepoteza muelekeo katika elimu. Inatia aibu na kusikitisha sana katika hili. Suala la ubora katika elimu inaonekana ni msamiati mgumu sana kwa serikali yetu. Ni muhimu kama taifa tukatambua kuwa njia iliyobora zaidi katika kugawana keki ya...
Ni kweli JokaKuu. Njia uliyopendekeza itaisaidia sana CHADEMA na wanahitaji kuwa na angalau vipindi maalum kila wiki angalau vipindi vitatu vya saa moja moja kwenye televisheni na redio.
Ni kweli pia suala la Afya nalo ni muhimu sana na niamini kuwa yote yanawezekana kuyatekeleza kwa pamoja. Tatizo viongozi wetu hawana dhamira na nia ya kuibadilisha na kuiendeleza nchi yetu. Jamani hali ya shule zetu inatisha kupita kiasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.