Rostam Aziz Kugombea Urais 2015????

Urais wa CHANETA au?
Kama wa TZ, Mara mia agombee kati ya hawa kilaza livingston lusinde, wasira, prof majimarefu au mzee wa kulala na midume4(mwigulu nchemba). Wakati huohuo umoja wa upnzani ukimsimamisha Fahim Dovutwa.
 
Huo ni utani. RA ni mwanasiasa/mfanyabiashara mjanja ameisha ona mbali kwamba CCM itaondolewa madarakani miaka michache ijayo. Amejiondoa ktk siasa na anaondoa biashara zake kubwa Tanzania! Na hii ni karibu wafanyabiashara wote tata wa wenye asili ya Kiasia!! Wenzetu wana maono ya mbali siyo kama sisi ngozi nyeusi tunaowaza leo!
 
Urais
wa CHANETA au?
Kama wa TZ, Mara mia agombee kati ya hawa kilaza livingston lusinde,
wasira, prof majimarefu au mzee wa kulala na midume4(mwigulu nchemba).
Wakati huohuo umoja wa upnzani ukimsimamisha Fahim Dovutwa.
hahahahahahaha umenifurahisha huyo fahim dovutwa akivaa zile fomu zk anakuwa km mgambo
 
Back
Top Bottom