Amanikwenu
Senior Member
- Dec 1, 2009
- 187
- 0
Wakuu,
Kuna tetesi kuwa RA atajitosa kugombea Urais mwaka 2015. Yangu macho na masikio....
Kuna tetesi kuwa RA atajitosa kugombea Urais mwaka 2015. Yangu macho na masikio....
Hataki siasa uchwara! labda agombee urais wa biashara!
Wakuu,
Kuna tetesi kuwa RA atajitosa kugombea Urais mwaka 2015. Yangu macho na masikio....
Wakuu,
Kuna tetesi kuwa RA atajitosa kugombea Urais mwaka 2015. Yangu macho na masikio....
hahahahahahaha umenifurahisha huyo fahim dovutwa akivaa zile fomu zk anakuwa km mgamboUrais
wa CHANETA au?
Kama wa TZ, Mara mia agombee kati ya hawa kilaza livingston lusinde,
wasira, prof majimarefu au mzee wa kulala na midume4(mwigulu nchemba).
Wakati huohuo umoja wa upnzani ukimsimamisha Fahim Dovutwa.