Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 64
Hivi inawezekanaje mtu unakuwa senior member kwenye Forum ya wasomi halafu unaandika pumba. Tunakubali mawazo ya kujenga na siyo ya kuboboa. Ungetakiwa uwe Dodoma kumpigia Chenge Kampeni hili mkimalize CCM kama mlivyofanya hawamu ya kwanza kwenye uteuzi wa mawaziri.
Hii ni Forum ya Wasomi?
Forum hii imejaa wanung'unikaji wa chama fulani wanaopendelea kutumia zaidi kauli za matusi.