Recent content by Amandonga

  1. Amandonga

    Cosa nostra

    Poa.
  2. Amandonga

    Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

    Nchi hii sio ya udini wala ukabila bali mtu atateuliwa kwa kuzingatia taaluma yake. Ni ilo tu hayo mengine tupa kule.
  3. Amandonga

    Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

    Inabidi afahamu kuwa na waislamu pia Elimu imewapita kando kidogo, mh rais anateua kwa kuzingatia proffesion ya mtu na sio dini ya mtu anapaswa kutambua hilo.
  4. Amandonga

    Tembelea Hapa Kufahamu Kila Kitu Kuhusu Smartphone Yako

    Samsung Note 3 unaweza kuipata kwa sh. Ngapi dukani kwa sasa?
  5. Amandonga

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    aahaaaa! Barnabas Mluge, Idrisa sadalah, gilbert boma, rashid Ngalawa n.k acha kabisa.
  6. Amandonga

    Kwanini Mmarekani Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikia sauti ya Azaan?

    ni vijimando tu hivyo hakuna kitu kama icho.
  7. Amandonga

    Kufika kileleni kwa kutumia Panadol na Konyagi

    wala usipate shida. piga konyagi na azama energy drink. ni viagra tosha mziki wake ni masaa 2. na unaweza usikojoe kabisa mpk pombe ipungue mwilini jaribu utanipa jibu.
  8. Amandonga

    Hivi kwanini baadhi ya wanawake huwa hawapendi kujitawaza na maji pindi waendapo msalani?

    we hujui kwamba hata nyama ikioshwa sana inapungua ladha.
  9. Amandonga

    Beware: Tapeli Tapeli

    aaahaaa! umesema alikuvisha pete tu. mbona utuambii mamaeee kama alikula kichwa. midume ya siku izi wiki ni kubwa atakuwa kaondoka na faida moja hapo.
  10. Amandonga

    David Kafulila afungua kesi Mahakama kuu, kutetewa na Tundu Lissu

    Huyo dogo kichwa kimejaa maji sikio la kufa halisikii dawa. hatambui kwamba mchezo umeshamalizika. na uchaguzi ukirudiwa ajue ndo atapa zero.
  11. Amandonga

    Kafulila kutinga mahakamani kutetea ushindi wake!

    acha upotoshaji! nani anayemfikiria kafulila jimbo la Kigoma kusini. kila mtu alishamchoka kwa kauli zake na dharau, washikaji zake wote walishamtema kwa nyodo na kutowatambua ndo maana Imidi aliliona mapema akasepa Mika na wengineo ....... wamemfikisha alipo ila yeye akajiona ni zaidi na hata...
  12. Amandonga

    Kafulila kutinga mahakamani kutetea ushindi wake!

    Hakuna jipya kwa kafulila nyie mliombali ndo hamumfahamu uku ni kiramba ukoko tu. wakati wa kampeni alikuwa anajitaidi kuonga lakini wananchi walimkataa tayari wakawa wanagomea pesa zake na kumfukuza hivyo yaliyotokea yalibashiriwa toka awali, mfano serikali za mitaa yeye kati ya vijiji 61...
  13. Amandonga

    David Kafulila: Tume inataka kunihujumu Kigoma Kusini

    wanajamvi sote jana tulishuudia aliyekuwa mbunge wa Kigoma kusini Ndg. Kafulila akijinasibu kuwa yeye ni mshindi na kwamba anaongoza kwa kura zaidi 2000. naomba nipinge vikali kwamba huu ni upotoshwaji wa hali ya juu na hii yote inayokana na yeye kutambua fika kuwa jahazi linazama. hivyo...
  14. Amandonga

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Ukawa kwisha habari yao! ni kama kafulila anavyopotosha umma kuwa anaongoza kwa kura huku akitambua fika. kapigwa kipigo cha nguvu na Iron Lady Hasna S.K.
  15. Amandonga

    Kafulila: Mahitaji ya watanzania kwa sasa yako UKAWA

    wote hao wanapumulia mipira aende ACT au asiende benchi linawasubili.
Back
Top Bottom