Happy nation
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 679
- 597
Hivi kweli hamna wapagani hii nchi?mbona hawalalamiki?mara ya mwisho alikuwa kingunge,
umeandika nini mkuu?sasa mkuu usomi gani kama sio hewa,mtu profesa hajui hata kuunga sentensi za kingereza amesoma nini huyo?
Chukulia kingereza cha dr joseph lwaitama,linganisha ni cha diamond mhitimu wa darasa la tano,utakuta cha diamond kinaeleweka kuliko huyo dr wenu,usomi usomi gani huu,mbona sasa wanavurunda,si waapply usomi wao nchi iende?
Sasa unafikiri vya nani mkuu?Vyeti ni vyao kweli?
Gwajima naye alienda kumchuna Lowassa kule Monduli?Kama Gwajima na wengineo au sio?
ratio ya wakati wa jk ilikuwa approx 60%kwa 40%,watu hawakuona tatizo sana,Kikwete hakufika hata Waislam juu ya 40%serikalini in comparison to Christians acha ku-underate this situation uteuzi wote Waislam kuwa less than 15%
Matatizo ya africa tunapuuza vitu hadi vita itokee ndiyo tuna kumbuka,ethiopia tigre ni 6% wanatawala bunge 100%,sasa imeanza kuwaka,sudan ilikuwa hivyo,central afrika,somalia,kama tunapenda amani maoni yeyote ya ukabila na udini lazima yapimwe kama yana ukweli na yashughulikiwe haraka.huyu sheikh akamatwe na atiwe ndani ni mchochezi, mdini na dhaifu kiakili.
Mkuu hawa ndio tunaambiwa wana macho lakini hawaoni,ratio ya wakati wa jk ilikuwa approx 60%kwa 40%,watu hawakuona tatizo sana,
sasa ni karibu 95 % kwa 5%,very unfair
naona iko haja hata kwenye timu ya taifa (taifa stars) tubalance wakristo na waislamu. Kigezo cha nani ni mchezaji mzuri isiwe issue.....Ilo liko wazi kuna ka harufu ka udini na ukabila serikalini....
Hata kama Mimi ni Catholic lakini naona kwa mbali ......
Nchi hii haingozwi kidini naona mapovu yanawatoka utazani mnachotetea ni haki yenu ya msingi nafasi za kuteuliwa nako mnalazmisha uchaguliwe kwa kigezo cha dini, kazi zipo nyingi zikitangazwa nafasi ombeni sifa na vigezo si mnavyo???Mtoa mada yupo sahihi kbsa!
We mwenyewe unajiita " blood of Jesus " unafikiri tutegemee utaandika nini hapa.Sidhani kama Rais huteua watu kwa kuhoji dini zao. Pia kuna ukweli kuwa taasisi za elimu za Kikristo zimekuwa zikijitahidi sana kuendeleza watoto kielimu tofauti na taasisi nyingi za Kiislamu ambazo zimekuwa zikihimiza zaidi elimu ya Madrassa na lugha ya Kiarabu.
nimeandika nikibase mnavyojitetea kuwa nyie mmesoma ndo maana mmechaguana wengi kukamata madaraka,nikasema huo usomi mbona kama ni hewa?,usomi gani mtu hawezi kuconstruct even a single sentense ,kwamaana kuwa usomi ama sijui wamehitimu vigezo ni kisingizio tu,bali kuna ulteriol motive behind,umeandika nini mkuu?
nasema sio sawa kuuliza kuhusu 'udini' serikalini,wasio amini uwepo wa mungu mbona hawaulizi watu wao?
Facts gani?Nashindwa nikupongezaje kwa fact ulizoshusha apa, mwenye macho na uelewa kamili ataelewa. [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
kwani kuna waislam wangapi serikalini,wakristo wangapi na wapagani wangapi?nimeandika nikibase mnavyojitetea kuwa nyie mmesoma ndo maana mmechaguana wengi kukamata madaraka,nikasema huo usomi mbona kama ni hewa?,usomi gani mtu hawezi kuconstruct even a single sentense ,kwamaana kuwa usomi ama sijui wamehitimu vigezo ni kisingizio tu,bali kuna ulteriol motive behind,
maybe like,"IT IS NOW OUR TURN TO EAT".