Recent content by Alsina

  1. A

    Natafuta kazi ya ualimu wa ICT chuo chochote

    Nimesoma na kupata diploma ICT Nina uzoefu wa kufundisha hivyo Kwa atakaye ona fursa ya kazi tujulishane no. 0756420558
  2. A

    Hatimaye Kim Jong Un wa Korea Kaskazini awasili Urusi kwa treni kukutana na Rais Vladimir Putin

    Nabado tu huyy kiduku atahangaika Sana ili nchi iwe super power ni kazi ngumu kumiliki modern war apparatus ( nyenzo za kisasa za kivita) haimaanishi wewe una power tiyari Kuna kitu kinaitwa kura ya turufu( veto) hii ukishaipata nchi yoyote unaiwekea wikazo isipokuwa hizi nchi ndio uwezi kamwe(...
  3. A

    Iran wameanza kazi:Gaidi mmoja ambaye ni mwanajeshi wa marekani auawa

    Soma kuhusu US Navy seals nahisi utaka kimya
  4. A

    Sitasahau siku nilipoingia matatizoni na mamlaka ya kiserikali bila kutarajia

    Mimi nakumbuka siku nilipompiga mdada kwa kunizushia masuala Fulani kumbe sikujua alikuwa awala wa marine force , Sasa akaenda kunishtaki kambini kwa huyo jamaa yake daah! Si muda nimesiti geto napika ugali wangu nasikia ghafla! Ndio huyu hapa huyo mdada akiwaonyesha hao masoja watatu aliokuja...
  5. A

    Je, Binadamu ameshaenda umbali upi chini ya ardhi?

    Urefu wa ardhi kuelekea chini sisi tumezoea futi 12 za kaburi hizo nyingi nyingine anazijua ibilisi alieko kuzimu
  6. A

    Mungu nisifikie kukata tamaa

    Maisha ni mlima Kuna Kila miinuko kuwa mvumilivu
  7. A

    Mtanzania Novatus Rugambwa ateuliwa kuwa balozi wa Papa New Zealand

    Novatus rugambwa Sasa hivi Vatican Ana cheo Cha juu kisicho Cha kawaida ni Sasa Sasa na rahisi kumchagua mbunge kuwa waziri
  8. A

    Mtoto auawa kwa kukatwa ulimi, korodani na kulawitiwa

    No wakati sahihi kwa Sasa kutumia mahakama za kijeshi ili wapigwe risasi Hawa wahalifu kafiri
  9. A

    Kitombi mke aliyeoa utacheka mpaka ufe

    Ndio madhara kutaka uwe kibenten
  10. A

    50 killed in New Zealand after gunmen attack Mosques(Waislamu wavamiwa Msikitini New Zealand; 50 wauawa)

    Wanasema ni mzungu mwenye itikadi Kali za mrengo wa kulia. Wanajua kuhusu hili tujulishane
  11. A

    Unywaji wa bia ya kwanza mpaka ya sita, mambo huwa hivi...

    Siku hixi godauni za bia zinakaa na kufuli solex maana wanaogoba mtu anaweza kuzimaliza🤔🤔🤣🤣🤣
  12. A

    Netanyahu Yuko Moscow Amemwambia Putin Israel Itaendelea Kuitandika Iran Nchini Syria

    Hao ni magaidi hamas na hezboulah,ingekuwa bongo tungewasukuma ndani Kisha tukawafyekelea mbali
Back
Top Bottom