Rais Magufuli afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Prof Kabudi awa Waziri wa Mambo ya Nje, Mahiga apelekwa Katiba na Sheria

Tatizo siasa mnazijua kutoka ufipa tu,nadhani humjui Prof Kabudi,kwa taarifa yako Prof.Kabudia ni mwanadiplomasia mbobezi,kwanza alikuwa mwandishi wa habari kama walivyo akina Mwakyembe,Ulimwengu,Mkapa na wengineo,baadaye akawa katibu mkuu wa Umoja wa Vijana wa Afrika kule Algeria ambako ndiko kulikuwa makao makuu ya Umoja wa Vijana wa Afrika alimrithi Jenerali Ulimwengu ambaye alikuwa hataki kuondoka huko Algeria ,Jenerali Ulimwengu alipoambiwa arudi aligoma na ikawa songombingo na hatimae akawa hana jeuri ikabid arudi,kwa hiyo kama ulikuwa hujui hiyo nafasi ilikuwa ya kidiplomasia,ushauri wangu kwa watoto wa jana kama hujui jambo jitahidi basi hata kujua historiaya huyo mtu unayetoa comments zake,bahati mbaya udaku na upofu wa mahaba yenu kwenye ile SACCOS ya Kaskazini kumewafanya mshindwe kufikiri,mnasubiri afikiri kwanza Mbowe,Lissu ,Fatuma,Maria,Lema ndio na nyie mupaze sauti

Kama nyie mlivyosubiri jiwe awaze kwa niaba yenu na kusema tunawadai Barrick $190b mkaanza kusifia, dakika ya mwisho Kabudi anakuja na hadithi za kishika uchumba cha $300m.
 
Mm navyoona sababu ni alivyoongeaga na wa-Tz Wanaoishi marekani,ukitaka teuzi ikupate mfanananishe magu na nyerere,
 
Mahiga mtu makini sana, issue ya lissu anajua ni ndogo sana kwa serikali kuanza kujibizana. Hajaongea kabisa.

Pili kama kuna nia ya kumdhuru lisu, Mahiga hawezi kufanya kazi hiyo hata kwa pesa, ni wazee wachache sana walio fundishwa na nyerere juu ya uadilifu.

Tatu Mahiga sio mtu wa kuendeshwa, anafanya kazi kulingana na taratibu za kazi.

Huyu mlopokaji sijui atawasomea zaburi wazungu walete pesa za makinikia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Subir mkuu utasikia tena wizara inatakiwa kuwa na mawaziri wawil KATIBA NA SHERIA ndipo mtakapojua kuwa hatuna mtu.......
 
Wizara ya AMANI
Michezo tu HIZO ZINGINE
Ulali mpakausikilize taarifayahabari kamakuna nyundo imekuingia
 
Wasalaam, hebu mwenye akili japo kidogo atafakari juu ya hili nini maana ya profession? Inashangaza japo wazungu wanamsemo kwamba sometimes vise vesa is true mtaalam wa sheria anakua mwanadiplomasia, mwanadiplomasia anakua mtaalamu wa sheria hii imekaaje?
 
Hebu leta mfano wa nchi nyingine tulinganishe.

Hivi rais anatakiwa awe na taaluma gani?
 
Mzee baba kasema tukichanganya ndo twapata mkorogo mtamu zaidi au we hujamuelewa?
 
Yawezekana hajashindwa, bali yawezekana alikuwa anapambana diplomatically kitu ambacho kama mtu sio diplomat hawezi kuona.
Kauli ya waziri wa mambo nje ina beba ujumbe mzito kimataifa kwa siasa za wenzetu ambapo inachukuliwa baraza la mawaziri lina lugha moja na kila waziri ni msemaji rasmi wa wizara yake kwa kitu kilichoafikiwa na wote.

Iwapo nchi inataka kuonekana ina promote free speech values busara ni kukaa na kukana tukio limefanywa na serikari; unless kama kuna mtu anaweza leta ushahidi.

Kama tunataka waziri wa mambo ya nje ajibizane na Lissu, the president might as well do that maana hakuna tofauti kwa jinsi kauli itakavyopokelewa, Mahiga nadhani alikuwa anajaribu ku-down play makelele ya Lissu kwa kukaa kimya wazungu wabaki njia panda maana yeyote angeweza mdhuru Lissu unless proven otherwise.

Sasa serikari imepata msemaji wa kwenda kuboronga.
 
Mara zote WANASIASA MAKINI huwa hawajibizani na WANAHARAKATI kama Tundu Lissu;wanamuacha aendelee na UNAHARAKATI wake mpaka siku atakayoingia na kugeuka kuwa MWANASIASA. All the best MWANAHARAKATI!
Ebu soma ulichokiandika kwanza maana naona ulichoandika hakiusiani na ulichomaanisha kwa hiyo wewe ndiyo mwanasiasa makini teh teh teh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili yako ndiyo imegota hapo zwazwa wewe! Shule za kata zimedumaza akili yako kama uliwahi kuwa nayo.

Umakini upo kwenye kupekua matako ya Baba yako..... Utasemaje kudanganya umma wa wa-Tanzania wakati unaona Korosho imenunuliwa... Mdomo mbaya kama **** ya Fisi.
 
Back
Top Bottom