Recent content by ALPHACAM

  1. A

    Kwanini wasomi wa Tanzania wana tofauti kubwa sana na wasomi wa Kenya?

    comfidenc inakuja ukiwa na protection lakini tanzania hamna protection boss ni boss tajiri ni tajiri huwezi kumshinda popote lakini kenya gorvernment unaweza kuichallenge (au kuishtaki) kutumia sheria za nchi lakini tanzania uoga na vitisho hapo utaona viongozi wanaweka sheria za kujilinda...
  2. A

    Maalim Seif: Mimi ndio Rais wenu

    Kumbe Machogo wengine wana roho mbaya kutaka kiwanja cha jirani kiwe chao hiyo ndoto yako utakaa nayo mwenyewe Na Jk hajashiriki katika mgogoro wa Zanzibar Karume kaunda Katiba mpya ya Zanzibar ambayo inapinga kukaliwa juu ya katiba yoyote ndo maana ccm wakaitisha katiba mpya ili kuuwa katiba...
  3. A

    Achaneni na mgogoro wa visiwani, acheni Zanzibar ijitenge

    kuongezea labda umesahau kuja mmoja jina lake halitajwi hujulikana Mr X ndio nani Mr X
  4. A

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    hiyo itamuumiza makufuli kukosa misaada na hata yeye kusafiri kama 1995 Dr salmin zanzibar katawala lakini alikuwa hawezi kwenda baadhi ya nchi hawamtambui
  5. A

    Lugha Nyepesi ya Kilichotokea Zanzibar (ZEC) Leo Hii - 28/10/2015

    ZEC ni wakala wa NEC wakala kashakataa. masaa 72 yashaisha :crazy:. Hapo patamu tusubiri matokeo. Dr Sheni anamaliza 2/11/2015. hapo tutajua umuhimu wa Zanzibar kwenye muungano Je wabunge wa Zanzibar wataenda kuapa
  6. A

    Lowassa will never win says South Africa

    huyo mwandishi katowa maoni yake kusema (even those his goin to win) naona ni ufahamu wa mwandishi bila reseach kasikia habari sehemu... kuhusu sera ni maoni yake kwamba magufuli kajenga barabara, Lowassa change hata camera inaonesha mikusanyiko ya chama kimoja ni mzushi tu non sense
  7. A

    Uchambuzi - Sheikh Ponda Issa Ponda

    Dhulma ina mwisho wake na mwisho ni waislamu kuwaondowa wanaowadhalilisha Masheikh na viongozi wa Dini
  8. A

    Funzo: Nilichojifunza leo kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa

    tunataka mabadiliko sio sera. kama sera hizi aliekuwa mwanasheria kaweka wazi sheria muhimu za katiba pendekezwa sikiliza atlist 25 minutes https://www.hulkshare.com/mahad87/othman-masoud
  9. A

    Sasa CCM-Z’bar haiwaamini Wabara

    Sikiliza hii voice ya mwanasheria sio uropekwe tu https://www.hulkshare.com/mahad87/othman-masoud
  10. A

    Robert Mugabe just shouted "We are not gays" in his UN speech

    Lakini ujumbe umefika ukitaka chukua hutaki utajijuwa lakini ukweli umefika
  11. A

    LEARN TO INSTALL ANDROID jerry been IN PC

    Who it work that program because pc doesn't take sim card itasaidia nini (au vipi) kutumia program za simu android za (smart phone) wakati pc haichukui sim card na itafanya kazi vipi sio ?????
  12. A

    Waislam na tatizo la ugaidi

    Mwenye kuamini Duniani tunapita Viongozi wanawahukumu watu wadogo (wanaowaongoza) lakini kuna Kiongozi wetu ataetuhukumu bila ya kuchagua cheo wala uwezo (mali) naamini hii ni mitihani ukweli anajua mwenyewe na MWENYEZI MUNGU ila usimuombee mtu mabaya kama hajakufanyia ubaya MWENYEZI MUNGU...
  13. A

    Mke wa rais ni First Lady, mume wa rais je?

    Kama rais mwanamke wamuita mume Wa rais hamna first boy ni mume wa rais
  14. A

    Lowassa Njia Panda kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu

    inawezekama sana elimu bure. wananchi wa ulaya wanasomeshwa bure watu wao na posho wanalipwa. ambayo international student diploma unalipa 20,000 euro. Degree 30,000 euro kwa mwaka kwa nchi kama Ireland ambayo economy yake inategemea viwanda vichache na mifugo. na mwananchi asokuwa na kazi...
Back
Top Bottom