Lowassa will never win says South Africa

Lowassa will never win says South Africa

wako sahihi, tukijisahau kwenda na kalamu zetu pamoja na kukunja karatasi kwa nje, Watashinda, bcz karatasi hizo za kura zimetengenezwa south, kwa advanced technology.
 
huyo mwandishi katowa maoni yake kusema (even those his goin to win) naona ni ufahamu wa mwandishi bila reseach kasikia habari sehemu...

kuhusu sera ni maoni yake kwamba magufuli kajenga barabara, Lowassa change

hata camera inaonesha mikusanyiko ya chama kimoja ni mzushi tu non sense
 
za kuambiwa changana na zakwako,kama wa south ndo wamapiga kura sawa
 
Hawajasema hivyo sikiliza vizuri hayo mahojiano.
Kama mgombea wao tu anasema congregation badala ya conglatulation, anasema l m a politicianS, unategemea nini kwa wafuasi wake?????? Elimu, elimu,elimu sikumwelewa Lowasa ila now naelewa
 
Kimani amesema mchuano mkali kati ya UKAWA na CCM. Alikosea aliposema kura itarudiwa (re run)iwapo hapatikani mshindi. Tanzania mshindi ni mshindi hata kwa asilimia 0.000000001.
 
Afrika Kusini wamesema Dr.Pombe Magufuli anaongoza mpaka sasa hivi na Lowasa atashindwa uchaguzi!




Waandishi wa habari wanaojadili sio watanzania! Ripota anaetoa taarifa ni mkenya na anatoa taarifa akiwa Nairobi. Anaesoma habari anatokea na pia yupo South Africa! Ni nani kati yao ana kichinjio?!!!!
 
Last edited by a moderator:
Wao ndyo wapiga kura? Ccm mbona mnalialia sn
 
Wao ndyo wapiga kura? Ccm mbona mnalialia sn

Ona wanamabadiliko!

(CNN)Canada voted in its first new leader in 10 years, as a general election handed Justin Trudeau's Liberal party an absolute majority -- and a stunning blow to incumbent Prime Minister Stephen Harper.
"This is what positive politics can do," Trudeau told supporters in Ottawa early Tuesday morning as the last few results trickled in.
"I didn't make history tonight, you did."
The victory denied a fourth term to Harper and his Conservative party. Because Canada does not have term limits, Harper has held the position since 2006.
He conceded defeat but said he'll remain in parliament as a lawmaker.
"We put everything on the table, we gave everything we had to give and we have no regrets," he said just before 10 p.m. in Calgary (midnight ET).
"The people of Canada have elected a Liberal government, which we accept without hesitation," Harper said.
'We beat fear with hope'
With vote counting still going on, Liberal candidates have secured 183 seats -- or "ridings," the Canadian term for federal electoral districts -- putting them over the line for forming a majority government. A total of 170 seats are needed for a majority. They are also leading in a further riding, which would give the party a total 184 seats in parliament.
Her Majesty's Loyal Opposition, as Harper's Conservatives will now officially be designated, have 99 seats and are expected to potentially win another, bringing the total to 100 by the time all votes are counted.
As the crowd chanted his name, Trudeau said the Liberals won because "we listened."
"We beat fear with hope, we beat cynicism with hard work. We beat negative, divisive politics with a positive vision that brings Canadians together," he said.
"Most of all we defeated the idea that Canadians should be satisfied with less, and that better isn't possible. My friends, this is Canada, where better is always possible."
Beginnings of a dynasty?
The son of Pierre Trudeau and scion of Canada's first, nascent political dynasty, the 43-year-old surged into the lead in recent weeks, largely on the back of anti-Conservative sentiment that saw Harper's party lagging as Canadians went to the polls.
Before the grueling, 78-day electioneering cycle began, many dismissed the younger Trudeau as trading off of his father's achievements and the famous family name. But pundits in Canada have praised his campaign and the way he has led the Liberals to what transpired to be a sweeping victory.
Ahead of the election, many pundits were predicting a tight race, with Harper and Trudeau neck-and-neck and the New Democratic Party (NDP) making up the numbers.
 
"I am a politicians" " I don't want to talk this time as saying so many political ......."

"Simple and clear is only congregations to you"

Ni shiiida, kipaumbele No 1. Elimu, kipaumbele No 2. Elimu, Kipaumbele No 3. Elimu!

hahahahaahhahaahahha mbavu zangu......
 
Waandishi wa habari wanaojadili sio watanzania! Ripota anaetoa taarifa ni mkenya na anatoa taarifa akiwa Nairobi. Anaesoma habari anatokea na pia yupo South Africa! Ni nani kati yao ana kichinjio?!!!!

Ukiacha hilo kinacho chosha na pengine kusikitisha ni jukwaa kuruhusu propaganda isiyo na miguu au kichwa.
Tathimini ya Ripota inahusiana vipi na hii heading? ''


[h=2]'' Lowassa will never win says South Africa ''[/h]


Ebu tupitie hii heeading hapa chini ambayo ndiyo mleta mada aliigeuza na kusema hicho alichoandika hapo juu!
Swali je huyo Sara ndiyo wa SA?



 
Back
Top Bottom