ngudengude
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 1,175
- 466
mgogorowa zanzibar maalim ndio shidaaa, kila uchaguzi amekuwa akijitangaza yy ni mshindi hata kabla ya matokeo, na hizi chokochoko anafanya kuna kitu anatafuta ili azushe mgogoro ambao mara zote huwa unamnufaisha yy binafsi. Maalim sasa apumzike tu siasa maana siasa za aina yaje za kutengeneza sintofaham zimeshapitwa.