Unajua unapoongea vitu vingine lazma ufikirie, hv hajui maisha ya wanafunzi wengine kuanzia manyumbani kwao ni ya juu? Au anafikiri wote wanategemea mkopo? Aache weus.
Mbona watz wengi wako nje ya nchi wanafundisha kiswahili. Rwanda, burundi, na nchi nyingine za ukanda wa afrika mashariki. Kwa iyo sizan kama ilo wazo liko na maana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.