Umejaribu kuongea na mumeo pengine una kasoro ambazo hajaweza kukubainishia waziwazi maana naona umeainisha jambo moja tu kuwa umemkanya.
Btw napenda kujua kama hutajali, kwa nini umeshindwa kutumia ile ID yako tuliyoizoea best??
almandy,ndio nataka nifanye hivyo ila najifikia kwanza mr. anasema sijawah kutembea naye ila kuna biznes tunafanya.nikimuuliza mbona anatukana anasema wewe ndio lada unamprovoke,haya mnafanya biashara gan kimya.mmmh mambo ya ndoa balaa
Hehehe...atanining'oneza
hawa single ndo wezi wenyew.utakuta amenoa ndoa takriban 3 zkawa ndoano
bora yakae rohoni ufanye hamsini zako...usijikondeshe bure...wanaume kuwa na vimada kawaida sana
kama hujarudi na id nyingine hapa..
Lahaulaaa!!! shemeg mie nina hako hako ka id kamoja...
Hebu kwanza mwaga mapwenti kumsaidia huyu bi dada...
Yaani wewe bi dada ukija kuzinduka kumeshakuchaaa!!!(it seems like u dont have any voice infront of ur husband); kwa mtazamo wangu kama kweli mumeo anakupenda na kukuthamini asigeenda kutafuta mwanamke mwengine na isitoshe umemkanya na bado hashughuliki.Unasubiri nini ehhh?Unataka uletewe maradhi ulee haya ngangana hapo hapo utajionea mambo!! na isitoshe hakuheshimu huyo mumeo seriously anaacha hawara yake akutukane!!wallahi kimbia dada yangu while u have the chance before its too late maana utakuja kulia vibaya tena sana!hivi jaman uko katika ndoa yako na mme wako unayemwamn na kumpenda sana.alafu unahs kama anakuchit ili ujipatie uhakika ukaamua kuchungulia simu na kweli ukakuta sms za mapenz na mwanamke mwingne ukajaribu kumkanya ikashindikana kibaya zaidi sasa hivi huyo mwanamke kapata namba yako ya simu anakutukanaje sasa na kukuchamba.
mshaurin jaman
mimi49@ni kweli unayosema ndio ninachokifanya now.
amekimbia nyumban na yule mwanamke anapiga simu wakiwa wanafanya mambo yao ili nisikie
Thats horrible im so sorry dear i really feel for you!!You made a good decision and u should stick by it!The man you call your HUSBAND doesnt deserve you,u deserve better!Sometimes its good just to let it gomimi49@ni kweli unayosema ndio ninachokifanya now.
amekimbia nyumban na yule mwanamke anapiga simu wakiwa wanafanya mambo yao ili nisikie
Cko kwenye ndoano na cna mume ha ha ha unalo bibi