Muhtasari wa shule Malengo na madhumuni, sheria ya serikali- Eneo itakapokuwa ukubwa Eka 2 na nusu na miundo mbinu husika changamoto ambayo wengi wanapata shida- wanafanya njia ya mkato majengo n.k ukiondoa Kiwanja kuna ada na ushuru wa stempu, mmiliki kwa majina. Kwa maswali...
Ndio ni mtihani Mgumu. Tafuta watumishi wenye maono ya kuomba wakusaidie pengine unahitaji utakaso bahati/nyota ( Mama jusi) ya kuolewa imefungwa na mapepo nielewa hapo. Mimi nina miaka 38 lakini sijao sababu mipago yangu sijakamisha kwa miaka 3 ijayo pengine. Na huyo kaka yaweza kuwa hivyo tu...
Kupitia Shirika la Friends of East Africa Chieldhood Development Care and Education Tz, kwa ushirikiano na Omep world www.worldomep.org/
Wanapenda kuwakaribisha wadau wote wa Elimu kwa kuanzia Elimu ya Awali
Lengo
Kuwaunganisha walimu wa Awali Tz na Wenzao wa KImataifa
Kupewa...
Kupitia Shirika la Friends of East Africa Chieldhood Development Care and Education Tz, kwqa ushirikiano na Omep world (World Organization for Early Childhood Education )
Wanapenda kuwakaribisha wadau wote wa Elimu kwa kuanzia Elimu ya Awali
Lengo
Kuwaunganisha walimu wa Awali Tz na Wenzao...
Nakupongeza kwa Jitihada zako wengi ni wazito wa kutumia mitandao..Utapata kazi. ..Nina tafuta walimu wa Elimu ya awali wawezeshwe kifursa na kimafunzo na shirika la elimu ya awali Duniani.Natafuta wawakilishi wa Mikoa.Kwa Tanga nitafurahi kuwa nawe na wengine Kwa Maelezo zaidi tumia simu...
Life is not fair not all the time but other time. Wanafunzi wengi wa chuo hasa wa kiume, ifikapo mwaka wa mwisho hasa muhula mkataba umeisha kama alitegemea pesa ya wazazi au boom, alishaanza kufikiri namna ya kubeba majukum.Life after college kwa Dunia na Tanzania ya leo ni ngumu sana ajira ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.