Life is not fair not all the time but other time. Wanafunzi wengi wa chuo hasa wa kiume, ifikapo mwaka wa mwisho hasa muhula mkataba umeisha kama alitegemea pesa ya wazazi au boom, alishaanza kufikiri namna ya kubeba majukum.Life after college kwa Dunia na Tanzania ya leo ni ngumu sana ajira ni majanga. Yeye alisha ona mbele hataweza.Pengine hamta pata ajira mkoa mmoja, Kanda ya kusini na kanda ya Kaskazini je inawezekana . Nina kusifu ulianza kufanya biashara mapema ukiwa chuo.."the best time to begin creating wealth is when you earn the first income, weather it is from employment, self- employment or business while still in your early twenties!your upbringing influences your path to becoming wealthy person Unachopaswa kufanya think on how to run and expand your business - 'fanya social networking utampotezea ... Go and live it