Naona wewe ni mazingira yamekuchafua. Vipi uliposomea hiyo kazi ulikuwa huelewi fyucha yake? ila ukipata private school kama FEZA ,Na nyingine kama hizo utaona maisha bombaa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiungo cha mwili wako usipokitumia muda mrefu ninkuja kushindwa kufanya kazi vizuri baadaye. Kukaa bila kufanya mapenzi muda mrefu unaloose performance
Sawa Tuache mambo ya magari. KULIKUWA NA UMUHIMU GANI KWA WANAFUNZI KUSAFIRI KWA AJILI YA KWENDA KUFANYA JOINT EXAMS. WANGEWEZA KUTUNGA MTIHANI WAPAMOJA NA WATOTO WAKAFANYA BILA KUSAFIRI.
Weeee sheria inasema ni kosa kutumia cheti cha Mtu.NECTA HAWABADILI MAJINA YA VYETI. YAANI HUO UJASIRI WAKUSEMA TU ULITUMIA CHETI CHA MTU NI HATAREEE NI SAWA NAKUWABIA WATU NATAKA KWENDA KUBEMBEA KWENYE WAYA WA THREE FESI WENYE UMEME
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.