Kwel kabisa ndugu, huu wema hata mm sijawahi ona, mtu unalazimishwa utajiri kwa nguvu kiasi kile [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] haijatokea kwa uso wa dunia.
Yalinikuta na jamaa yangu classmate chuo kikuu baada ya kumaliza na ajira/kujiajiri zilivyokua ngumu hivi.
Niambiwa nichukue saa ya...
Porini kuna nn huko atoke huko. Aje town anatafuta nn.
Sehemu zote hajaona mpaka akapike porini, mwanaume mzima [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio si sababu kwa nini virus wa HIV hawezi kufa,kwa maana hata matibabu ya saratani(CA) hasa mionzi(radiotherapy) huuwa chembe hai(cells),ila ndo tiba yake hivyohivyo
Sasa kwa swali letu kwanini HIV virus hawafi???
Badala yake wanafubazwa na ARV??
NB: This is a molecular biology based science
Kwani uki weigh taarifa zake katika pande mbili zile ambazo zinakuja kuwa right yaan truth inaji reveal itself after a time vs zile info ambazo alitoa baada ya muda zikagundulika ilikua uwongo/uzushi(kudanganya).Proportionality imekaaje hapo wananzengo??
Inawezekana sababu ya hali ya kisiasa ilivyo sasa spain alafu barcelona ni wacatalans ila ni uamuzi wao tu wapi pa kwenda maeneo jirani wakitaka wanaweza hata baki hapohapo spain.
Mfano; mwingne nchi kama israel na uturuki hazipo ulaya ila wameona kuchezea kwenye shirikisho la ulaya kwa ngazi za...
Pc dell core i7 niki charge ina sema not charging kwenye display icon ya battery chini pale,ila si mara zote ni mda na mda ndo inafanya hivyo.
NB:imeshawahi kufa Pc system charge ikatengenezwa na kupona, mda umepita sasa ndo inaleta hio mizengwe ya 'not charging'
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ina makabila zaidi ya 130,Tanzania ni zaidi ya kabila la wazaramo.Ukabila hauko huku kama huko
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mmechora mlima ambao haupo kwenye taifa lenu.Nani ka copy mwenzie hapo? ama ni mlima Kenya huo kwenye picha? By the way you should spend much time in promoting mt.kenya which eligibily yours compare to The Kilimanjaro.Roughly i heard at your primary schools teaching young boys and girls about...
Kaulize mzungu aliyegawa hio mipaka during African partition in Berlin conference 1886.By the way kabla huo mda unafikiri kulikuaje?je kulikua na mlima wa taifa flani?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.