Maeneo gani? Kwani sherehe za DIWALI bado??Kuna milio inasikika nje huko si ya kawaida... kwa wakazi wa Dsm tujuzane..inakuja na kupotea.
Namanga ..milio inatokea upande wa Posta kama Sio Upanga pale .. ni hatari.
Kama ni mafataki yao wawe wanatoa taarifa...huu upuuzi wa furaha ya watu wachache isiwe kero kwa watu wengi
Mkuu muogaKuna milio inasikika nje huko si ya kawaida... kwa wakazi wa Dsm tujuzane..inakuja na kupotea.