Recent content by Aidan.CEO

  1. Aidan.CEO

    Gwajima amtumia salamu CAG Prof Asad kufuatia ombi lake la kujengewa msikiti ofisini

    Jamaa alipost hii post Fb cha kushangaza aliiondoa menyewe
  2. Aidan.CEO

    Clouds Media wamesimama wapi katika hili la Escrow?

    clouds nao mnawafatilia? kifupi hawana jipya zaidi ya njaa kali kwa kujikomba na mijizi ya ccm na siku zote wanaegemea ccm na kuwabeza wapi zani kwa madai ni watu wasio wazalendo na wafanya fujo ndio maana wamekuja na vijimsemo vyao vya kuwafunga watu akili eti "sambaza upendo" kwa mtu mwenye...
  3. Aidan.CEO

    Pongezi IPP Mtaingia kwenye Kumbukumbu za ukombozi wa Taifa hili

    hongera IPP media mnahitajika sana kwenye nchi hii kipindi hiki kila kitu kizawe kuwa wazi kwa watanzania wote.
  4. Aidan.CEO

    Lowassa kuizindua Helcopta ya Ufufuo na Uzima

    Kweli Ufufuo na Uzima mko juu na mna maarifa sana, hongereni kwa hatua mliyoifikia kweli mnastahili kupongezwa.
  5. Aidan.CEO

    Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Kibonde wa Clouds anadaiwa kusababisha ajali asubuhi hii eneo la Makumbusho, amemgonga dereva mwingine kwa nyuma. Trafiki walipofika kupima ajali, Kibonde karudi nyuma kaendesha gari lake kasepa! Trafiki katumia gari lililogongwa kumfukuzia. Walifanikiwa kumkamata eneo la Mwenge. Trafiki...
  6. Aidan.CEO

    Bunge la katiba lasambaratika

    Watu wachache wanawrza kutoa kitu bora kuliko watu wengi wafuatao maslahi binafsi
  7. Aidan.CEO

    Nini tafsiri ya ndoto hii ?

    Ndoto ni bayana watu wengi hawajui hili
  8. Aidan.CEO

    Nimesikitishwa na kauli ya Clouds FM

    Wanawapa promo kwani UKAWA wanahitaji sapoti yao ndio wajulikane vichaa kweli!
  9. Aidan.CEO

    Clouds yaipotezea UKAWA

    Kwanini hawapenyi inashindikanaje:cool: kwa uelewa wako kama nyooka unafikiri wanauchu wa madaraka?! Kweli hamnazo
  10. Aidan.CEO

    Clouds yaipotezea UKAWA

    Umesahau mheshimiwa aliwaalika Ikulu watangazaji wote wa clouds wakala bata na kusaza na hawa jamaa wanatumia propaganda zao kuwafanya vijana wasitambue uozo wa rushwa, ubabe wa madaraka wa baadhi ya viongozi wanaoufanya hasa chama tawala mfano 6 na kukandamiza vyombo vya habari hilo mbona...
  11. Aidan.CEO

    Ajira Chopa ya Gwajima

    Duh kweli Mchungajo gwajima amekua kama Icon hana Redio, hana Televisheni, hana kipindi chochote kinachorushwa lakini amekua maarufu kila siku humu JF lazima jina lake litajwe na magazetini isipokua siku hizi mbili tangu afanye sherehe juzi jumapili naona hayaja andika!
  12. Aidan.CEO

    Serikali 3 na gharama zake

    Hizo hoja za pindaccm usituletee hapa tunataka mabadiliko ya nchi
  13. Aidan.CEO

    Asante sana IPP Media - ITV, Radio one, Capital radio

    Tunataka mabadiliko safi sana na Tanzania mpya inakuja hatutaki kuburuzwa hapa mpaka kieleweke binafsi nimefunguliwa sana uelewa ningejulia wapi yale yote Big up IPP media
  14. Aidan.CEO

    Warioba: Kwanini unaita tathmini binafsi ya tume yako ni maoni ya wananchi?

    Kweli hamnazo ndugu sasa yeye anayoyaongea unadhani ameyatoa kwa wakina nani:what:
Back
Top Bottom