Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 765
Ninyi waislamu hamjanyimwa kwenda kuswali viwanja vya serikali,acha wivu wa kike!
Hizi ni dalili za upumbavu kichwani...mtafute hekima na usimwache aende zake.
Ninyi waislamu hamjanyimwa kwenda kuswali viwanja vya serikali,acha wivu wa kike!
Wazee wa misukule dah, unajua mwanzoni nilikua naamini haya makanisa mchicha kama ni kweli yana Mungu ndani yake na ilibaki kidogo niangukie huko. lakini siku nilipokuja kugundua issue ya misukule na jinsi wanavyowapata hawa misukule nilishtuka sana. na sitaki kabisa kusikia haya makanisa mchicha.
Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, ambao ndio wamiliki wa helcopter hii limemaliza taratibu nyingi za kusajili hadi kupata ruhusa ya Kuruka zilizochukua miezi Toka ilipo wasili nchini. Mbali na shughuli za kanisa lakini kanisa limeitoa helkopter hii ifanye shughuli za kijamii na ndio lengo mama hasa. shughuli hizi ni pamoja na Uokoaji wakati wa majanga.
helkopter hii aina ya Robinson R44 ambayo kwenye dunia ya vyombo vya angani inaitwa 'TOP-Vision' imeundwa kwa muundo wa kisasa zaidi wenye kioo kikubwa kinacho saidia abiria na rubani kutazama pande zote wawapo ndani. muundo huu unasaidia sana kwenye majanga kama mafuriko au vyombo vinavyozama majini. Chopaa hii ina uwezo wa kunyanyua mzigo unaokaribia tani moja ikiwa na maana inaweza kuwainua watu zaidi ya kumi kwa kamba.
lakini pia Chopaa hii ina uwezo wa kutua juu ya maji na kuendelea na safari zake. ni moja kati ya helcopter ambazo zinapendwa zaidi ulimwenguni kwa sasa. Robinson zimeundwa kwa mtindo wa kuinua pangaboi lake JUU sana kuepusha ajali. Chopaa hili halina makelele mengi wala Vumbi.
lakini pia kanisa limeanza mchakato wa kuagiza ndege ndogo za abiria sita na nane Jet aircraft zenye uwezo wa kukimbia kwa kasi kiasi cha kilometa 1200 kwa saa, kiasi cha kutumia dakika hamsini (50 minutes) kutoka Dar hadi Kigoma.
mbali na hapo kanisa linatarajia kuleta ndege 'cessna aircraft' zenye uwezo wa kuchukua hadi abiria 32, hizi zitafanya huduma za jamii kwa ujumla. Yote haya ni kufanya miji ifikike kwa urahisi na wepesi ili nchi yetu ipige hatua za kasi kwenye maendeleo. Mtu anaweza kutumia Jet Aircraft ndani ya masaa 11 akaitembelea Mikoa Yote Tanzania.
Kanisa linakamilisha ujenzi wa Kiwanja Cha ndege eneo la Kinzudi Salasala na wakaazi wote wa jiji hili la Darisalam na mikoani wanakaribiswa kupata huduma hizi ambazo hapo awali tulikaririshwa kwamba ni za watu wenye pesa nyingi mno kitu ambacho si kweli. .
Third world leaders, no work to do.
Lowassa kuizindua Helcopta ya Ufufuo na Uzima
Binafsi nampongeza sana Bishop Gwajima. Watanzania wachache kama yeye ni majasiri kufanya mambo makubwa makubwa.
Nduguzetu
Jumapili hii ya tarehe 9-Novemba, kwenye viwanja vya wazi vya Tanganyika packers , eneo la Kawe ndani ya Jiji la Dar-es Salaam ile Helcoptel iliyotajwa sana na vyombo vya habari Itazinduliwa na Mheshimiwa Edward Lowasa aliyekuwa Waziri wetu mkuu. Helcopter Itatua katika viwanja hivi saa nane mchana kwenye eneo maalum ilipo tengewa.
Mhandisi, mimi issue yangu ni moja tu, kwa nini uzinduzi usifanywe na mmoja kati ya Maaskofu hata kama ni wastafu. Kwa nini Lowassa?
Mipango mizuri, ufunguzi unafanywa na Fisadi
Tunaomba yote yanayojiri kwa kila hatua katika uzinduzi wa chopa na picha za matukio.
Fisadi bibi yako