MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 403
rubani yupo tayari ni flora mbasha
nasikia ili ampoze machungu emmanuel mbasha atakuwa konda wa hy chopa,na dereva frola mbasha na gwajima watakuwa mbele,
rubani yupo tayari ni flora mbasha
hawezi kupata hy kazi hadi ajigeuze kuwa tahira ashabikie ngono uzinzi.pia lazima aigize ameokoka na awe mfuasi wa hl kundi. Kinyume na hapo nakuhakikishia hata awe na master degree first clas hapati ng'oo na akipata uje useme humu jamvini.
Duh kweli Mchungajo gwajima amekua kama Icon hana Redio, hana Televisheni, hana kipindi chochote kinachorushwa lakini amekua maarufu kila siku humu JF lazima jina lake litajwe na magazetini isipokua siku hizi mbili tangu afanye sherehe juzi jumapili naona hayaja andika!