Ila kidogo naona wanajituma kuwaumbua mafisadi. Hata Hando mzee wa kujipendekeza jana aliwananga sana mafisadi. Na jioni waliweka bunge na kurusha ripoti yote ya PAC. Labda wamepima maji wameona yana kasi!
Huwezi jua maana alishasema alikutana na mamvi tanga kwakweli huyu hando anajipendekeza vibaya sana
Yote tisa ,kumi Mr Lusinde,nadhani yule jamaa ana degree ya matusi.Hana makuzi mazuri,ukiwa unaangalia Bunge na wanao pembeni ,akianza Lusinde bora utoke au uwatume wanao dukani.Unayajua matusi ww. Nenda bungeni. Hata didas masaburi alikuwa km ametukana lkn ujumbe ukawa umewafikia wahusika
Ila kidogo naona wanajituma kuwaumbua mafisadi. Hata Hando mzee wa kujipendekeza jana aliwananga sana mafisadi. Na jioni waliweka bunge na kurusha ripoti yote ya PAC. Labda wamepima maji wameona yana kasi!