Hata mie nilisikia,nikashangaa na kuogopa kwa kuwa nilikuwa siamini kama hao ndio wachambuzi wa magazeti wa redio,na pale ndio ukomo wao wa kufikiri katika kuchambua suala la katiba! kimsingi hawajui kwanini UKAWA walitoka bungeni!
Siku moja nilikuwa napita na gari kwenye uchochoro wa barabara ambao ni mwembamba kiasi cha kushindwa kupishana na mtembea kwa miguu,basi mbele yangu alikuwa anakuja dada mmoja kwa miguu ambaye badala ya kusimama kusubiri sehemu tunayoweza kupishana,yeye akaja na akataka gari ndio irudi nyuma!Rafiki yangu niliyekuwa nae akaniambia,usibishane nae huyo ni form 4 failure,nikarudi nyuma tukapishana
Ndugu zangu,watangazaji wale ni form 4 failure, hebu angalia uwezo wao wa uchambua mambo mengine tu.
Siku moja nilikuwa napita na gari kwenye uchochoro wa barabara ambao ni mwembamba kiasi cha kushindwa kupishana na mtembea kwa miguu,basi mbele yangu alikuwa anakuja dada mmoja kwa miguu ambaye badala ya kusimama kusubiri sehemu tunayoweza kupishana,yeye akaja na akataka gari ndio irudi nyuma!Rafiki yangu niliyekuwa nae akaniambia,usibishane nae huyo ni form 4 failure,nikarudi nyuma tukapishana
Ndugu zangu,watangazaji wale ni form 4 failure, hebu angalia uwezo wao wa uchambua mambo mengine tu.