Pole bado unasikiliza clouds tu ndugu yangu pole sana kama unataka kipindi bora cha asubuhi sikiliza Morning Magic ni bonge ya kipindi aisee..!
Pengine nisaidiwe kwa hoja, kwa nn wamekataa kutangaza? Maana c wote wanasikilza, mwenye habr kamili alete ili kabla ya kucoment ijulikane sababu!
NIMESIKITISHWA SANA NA KAULI YA CLOUDS FM.
Nimeingiwa na shaka na watangazaji wa clouds fm leo katika kipindi cha power breakfast baada ya kutangaza kwamba hawatatangaza habari za UKAWA eti wanawapa umaarufu leo nimejua hawa jamaa ni CCM pure!
Poor clouds fm.
clouds siskiliz na facebook pia siingiagi....
Hii ni ile ya Machangu?
Pengine nisaidiwe kwa hoja, kwa nn wamekataa kutangaza? Maana c wote wanasikilza, mwenye habr kamili alete ili kabla ya kucoment ijulikane sababu!
Hata wafanye nini, tayari UKAWA wana wafuasi zaidi ya milioni 10 Tanzania nzima
Nina siku sijasikiliza clouds, hivi bado wanawasikizaji?
Mwaka 2010 mlisema hivyo hivyo, Slaa akapata kura 3000 kwenye uchaguziHata wafanye nini, tayari UKAWA wana wafuasi zaidi ya milioni 10 Tanzania nzima