Recent content by Ahmada umelewa

  1. A

    Mke wa mtu ananiuliza napenda aje kwangu akiwa amevaaje?

    Msimhukumu jamaa anasema uongo, Kuweni Waungwana, kila alichoandika hapa chaeleweka! QUOTE=Pinokyo Jujuman;3891517]Ujue tatizo natumia simu kupost hiki kisa hivyo sijaweza kuandika kila kitu nafasi haitoshi; ila ni kwamba yeye anavyokichukulia kile kitendo cha kumlipa pesa yake bila...
  2. A

    Kina Dada, "Are you Mom enough?"...Wanaume najua mtatia chabo tu!

    Pelekeni ujinga huko, Dogo ananyonya hii kitu kimahaba kabisa, uzungu Wa hivin siuitaji Bwana!
  3. A

    Huyu mwanamke anatafutwa

    Hili ni Funzo kwa wanaume wababe na wasiotulia na familia zao, najua tu Hadithi hapa ni kwamba Mama kachoka na hili Dume la mbegu na Ndo maana kaondoka, she is responsible Ndo maana kaondoka na mtoto! Msimsaidie jamaa kumtafuta, ale jeuri Yake!
  4. A

    wadada wenzangu naombeni msaada

    All I can tell you is this, there is no happiness and true achievement and a real joy without a family, so to say if you don't look up to that there is nothing remain in this world for you, just die ...
  5. A

    I SUSPECT my wife of having an affair with another woman.

    Don't spoil your marriage, girls can do that, don't ignore your feelings keep on checkin out but stay away from her phone and be gentlemen. Gals can talk like that to each other without anything going on between them. Be positive but as said, don't ignore your doubts but be wise when you...
  6. A

    Masaada jamani...!!

    Unapojisikia vibaya usikimbilie kupima malaria, huwezi kuyakosa hata Siku moja?
  7. A

    Hii nchi ni ya baba yao?

    Kwa kweli ndugu zangu mie nimechoka kusikia jinsi watu wanavyoila hii nchi, sielewi wana maana gani, HIVI CCM hii nchi mliachiwa na Bibi yenu? mbona hamna hata aibu, ufujaji mwingine mimi nikisikia mpaka masikio yanawasha, Maana yake ni nini sasa?
  8. A

    I need a born again husband

    Wanapatikana kwenye maombi
  9. A

    PayTrade ya tradecarview

    Nimenunua Gari Mara 2 via paytrade! Ni Huduma inayohakikisha kwamba hela yako haitaibiwa! Tradecarview ni kampuni na ndani Yake pana watu wameregister wanauza magari, when you use paytrade actually hela ukituma zaenda kwa trade car view na wakiridhika Gari limetumwa na ni Kama like la kwenye...
  10. A

    Nimesikitishwa sana baada ya kuona kwenye CCTV vitendo alivyofanya shemeji yangu.

    Kalishwa limbwata utateseka bure, achana Naye au Kama unataka uwe na Amani muombe limbwata Shemeji yako pia.
  11. A

    [USHAURI] Online shopping: Kuna mtu amefanikiwa kwa hapa Tz?

    Nimenunua service Mara nyingi but not products
  12. A

    since i started dating her..mambo hayaendi kabisa..

    Uvivu wako Wa kumuwaza Na kutochangamkia deal Kama zamani utakupeleka kubaya, Ngoja deal zioshe uone kama atakutafuta tena! QUOTE=mkaliwakitaa;3835306]Mtoto ni mkali kweli kweli..nampenda kweli kweli..lakini ..its two weeks now since i started dating her..all my deals that were to happen...
  13. A

    Subaru Forester with Turbo 4WD

    Trade car view is the best and use paytrade to secure your miney, the cost of paytrade service is $ 150 more than the invoice value but it worth, choose car of your choice.
  14. A

    Msaada kununua desktop

    Struggle to buy a new one, used computers are difficult!
Back
Top Bottom