Mbali na Paytrade! Je kampuni kama Imperial Solution Ltd (ISL) ni kampuni tapeli au la? Maana Japan sasa kuna makampuni mengi hewa...na watu wanalizwa kila leo sehemu mbali mbali ikiwemo Tanzania. Nataka kuagiza gari kutoka kwenye hiyo Kampuni kama kuna mtu anauzoefu nayo naomba anijuze! Sina shaka na majibu ya kutumia Paytrade kufanya malipo ya gari niipendayo!! Natanguliza shukrani zangu.......
Kwa anayejua jinsi ya kuagiza gari kwa njia ya
paytrade anijuze tafadhali. Kuna ndugu yangu
anata atumie huo mfumo kaambiwa ni mzuri kwa
usalama wa fedha badala ya kutma
moja kwa moja kutoka kwa seller.
Nawasubiria wakuu!
Kweli wewe mgeni sasa hapa MMU na magari wapi na wapi mzee?
Hili ni swala la MMU?
Hili ni swala la MMU?
Anataka kufanya urafiki na gari.Hili ni swala la MMU?