Recent content by ager de don

  1. A

    Uchumi wa Marekani unashuka kwa kasi ya ajabu na dola

    Hii haitaondoa ukweli aliousema dhido ya african contries so kama ilikuuma ndg yangu pole kala kababu kako vizuri sio masihara!!
  2. A

    Wastara taabani, anaumwa...

    Wasanii wetu wa bongo wakiumwa inatia huruma. Kwanza lazima tujue pili lazima tuwachangie
  3. A

    Je, wauguzi hawaoni udhamani wa kazi wanayofanya?

    Asalamaleukum wadau! Niko katika pitapita zangu nimekutana na maandamano halali tena yakisimamiwa na vyombo vya ulinzi na usalama, manesi wetu wanasherekea siku yao ya uuguzi duniani, ila sasa ninachoshangaa hadi sasa sijaona uzi wowote kuhusiana na tukio lao la leo. Sasa najiuliza tuu humu jf...
  4. A

    League ya wanawake imeishia wapi??

    Hi guyz!! Kwani ile league yetu ya wanawake ambayo TFF ilianzisha iliishia wapi, Maana hadi leo sijui a wala z tanzania bhana!!
  5. A

    Mume anahitajika

    Unaitaji mume au unahitaji mwanaume
  6. A

    Rais Magufuli: Chuo chochote kitakachojaribu kugoma sitasita kuwafukuza, tena kwa muda usiojulikana!

    Lait mkulu angekua na account jf labda angekutana na huu uzi
  7. A

    Application muhimu kwa smartphone yako

    Apps zipo nyingi mno mbona
Back
Top Bottom