Application muhimu kwa smartphone yako

Application muhimu kwa smartphone yako

Nyie wa ios hpat vitu ving coz android ina watumiaj weng sana dunian afu ni simple
mx player mkuu ni nzur saaaaaaaaaana mnooo tena unaweza ukaweka video afu ukakata yaan ukaskiliza kama wimbo kwenye home yaan background ,sasa apo n setting na ujuz na uelewa wa lugha unaset kwenye setting yake Bluetooth inaweza, ata ukipigiwa sm unaendlea kuskiza mzik kwa chin chin
 
Jamiiforums
Duolingoo (kujifunza lugha mbalimbali)
Reddit (jf ya dunia)
Quran
Adobe reader. (Kusoma na kuedit dokumaa)
Pinterest(inspirations,DIY projects etc)
Homestyler,houzz (interior design/deco)
Aliexpress
Accuweather
Google maps
Chrome
 
Calculator+ hii hutumika kuhide picha kwenye gallery ambazo unaona hazifai kuonekana
 
Mbona hamuwek maujnja kwenye IOS na wengine wakapata kufaidika?
 
Mbona hamuwek maujnja kwenye IOS na wengine wakapata kufaidika?
Iphone wanazo wachache ndiyo maana unaona utundu haupo. Njoo android ule bata maana huku kuna apps zaid ya milion 1.
 
Iyo ni kiboko! Hata mtu aki update password nayo ina update pia, ina show passwords alizo change, ila mapungufu yake ni kua unahitaji kua connected to the internet ili iweze kufanya kazi, then uta copy passwords zako na utafanya yako.... Ila kwa usalama zaidi wa mambo yako utakayokua unafanya online pindi utakapo kua umefanikiwa ku connect na moja ya secure WiFi, basi huna budi kutumia VPN ili ku hide IP address yako na original location....
Ushanichanganya hapo dah
 
Back
Top Bottom