Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 8,202
- 14,122
Hakuna mgonjwa hapo ni magilini tu. Kuna msg anawatumia msishtuke siku ikifika mjue na kujadili ah ni kichwa mara mguu mtabishana mbona alienda India kutibiwa kwani alitibiwa nini hahahhhh mwenye uelewa wameshtukia game. Aache kujilengesha buaaana
