Recent content by afrocentric mind

  1. A

    JamiiForums Tanzania Akiba Commercial Bank na Manager asiyetumia akili

    Patrick Nitaendelea kuwa tofauti kimawazo na wewe kwa sababu tunaangalia kwa mitazamo tofauti. Tusikazimishe matatizo yawe kawaida ya maisha yetu, ATM kumeza kadi sio kawaida kwasababu haikutengenezwa kumeza kadi, sasa kama tunashindwa kuwa na sense of urgency kwenye issue zinazowakwaza wateja...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Akiba Commercial Bank na Manager asiyetumia akili

    Patrick Lazima tujifunze kuweka ubinadamu kwanza kwasababu sheria na taratibu ziliwekwa kwa ajili ya kutuwezesha kujitawala kwenye mstari. Nani aliyetangulia sheria au binadamu kwahiyo ukisoma kwa makini maelezo ya huyu mteja utagundua kuwa hakuwa na shida kuambiwa utaratibu ulivyo bali the way...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Scholarship of Mozambique

    Pls just write in Swahili. "Scholarship of Mozambique"... Halafu mnataka tuungane East Africa iwe nchi moja, mbona wadogo zetu watakuwa mahouse boy/girl wa majirani zetu.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Peco Company

    Are u an MD(Medical Doctor)? Or PhD holder! Correction: sio kukalili ni kukariri We will proceed with caution on these applications.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wa kigeni waliotamba ligi kuu ya bongo

    Nakumbuka mechi ya simba na yangu nimesahau mwaka, labda 92/93. Constantine Kimanda fullback Five na George Masatu simba Fullback wa msimbazi. Simba ilianza kuwafunga yanga kwa mpira wa adhabu ndogo, goli aligunda Masatu, likasawazishwa na Kimanda kwa style ile ile ya Masatu adhabu ndogo...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete kuhutubia bunge la Kenya

    Kwa mara ya kwanza Mkenya ameandika Kiswahili fasaha. Hongera jirani. Pls pls Mr. Kenyatta, do not let Mr Smiley speak English in that address. Mwache aongee Kiswahili period.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    Congrat, we share the same
  8. A

    JamiiForums Tanzania Wachina wengi wanaamini weusi (Waafrica) tuliunguzwa na Jua

    Ilinikuta Walmart hii kaka, mtoto wa Kizungu kanikimbilia ananiuliza "why didn't you take shower? Same way niliinama nikamwambia ni ndivyo tulivyozaliwa. As an employee I got promoted to Customer Service Manager from that incident. Nilikuwa cashier.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Kikwete: Nimelipa deni la taifa la 1958

    AN OPEN LETTER TO THE UK AMBASSADOR TO TANZANIA Honorable Ambassador Your Majesty Madam. I am a born Citizen of Tanzania. I am appalled by the information from our president that with all UK took from our grandfathers during colonialism yet there were massive debt left behind for the...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Kikwete: Nimelipa deni la taifa la 1958

    Hata kama, Lakini kumbuka Tanganyika ilikuwa teritory ya Uingereza chini ya Queen Liz kama Head of State. Makusanyo yote ya Kodi ya Tanganyika yalikuwa part ya mapato ya Uingereza which means hapa Dar hakukuwepo na Hazina. Kwahiyo, kimahesabu huwezi kukubali kuchukua kodi halafu useme madeni...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Kumbe Maofisa balozi za Tanzania nje ya nchi wanaringa hivi?

    Let me tell u, nenda balozi za nje ndani ya Tanzania utakuta kuna sehemu na siku ya kufahamiana tu. kusalimia ni part ya kujifunza, bora wangeweka muda maalum katika siku kwa ajili ya Raia, huhitaji kuwa na shida kwenda Ubalozini kwako. Haya ndio mazoea ya kupata watu kwa njia ya kujuana badala...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Kikwete: Nimelipa deni la taifa la 1958

    My question remains unanswered! Kikwete is the Fourth Pres of URT, before then, there were three major phases of leadership. Y does this president fee obligated to pay a debt that all three predecessors felt unnecessary?
  13. A

    JamiiForums Tanzania Kama ni kweli basi System ndo Tatizo

    Nimeanza kurudisha imani yangu Jamii Forum. Hii ndio Jamii forum nilikuwa ninaifahamu, wanafalsafa wanagusa magombo ya Legendaries Mkuu kwanini Politburo ina power, kwasababu its made of very few powerful minds. Currently wako saba tu. na hii ndio pia the Heart of Chinese system, hawa wana...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Kama ni kweli basi System ndo Tatizo

    Kaka, nashukuru sana, System inatakiwa iwe juu ya Executive, meaning System has the power to Nixon any President. System ya Nyerere ilifanya hivo kwa Mwinyi kwenye OIC. System ilifanya the same kwa Dr Salmin Zanzibar. That system ilikwenda wapi. System ilikuwa na majukumu ya kuchunga Usalama wa...
Back
Top Bottom