BAFA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 3,059
- 5,927
Hapo ndipo uliposhindwa na Kinana. Unapigana vita na Kinana binafsi badala ya kupigana na adui yako wa ukweli ambae si mwengine bali ni Mtanzania anaekunyima kura miaka yote. Fikiri.
Wakati wewe unapigana vita vya kusadikika na Kinana na CCM, Kinana yupo huko kwa wapiga kura anawakinaisha waipe kura CCM.
Kila unavyowaambia Watanzania CCM ni mbaya, Kinana ni mbaya, Watanzania hao hao wao wanakuona wewe ni fataani.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hajjat kweli kinana ni ryt person at a ryt time kwa ccm daaah yaaan sasa hivi jamaa wanaikatikia ngoma wamesahau mpaka ukawa duuh msonjo ni "mafioso" hatari