nyie jamaa mmewapa man utd matumain makubwa sana ila kiukweli hii timu ina shida 3-5 nzito
1 bruno
2 hakuna Dm bora hapo kati ni makida makida tu
3 hakuna chemistry in attack wako wako tu itawachukua muda sana ku settle
4 kipa aisee
5 kocha ni mbishi hataki kuwa flexible kubadili formation...
Aisee hii timu ni mbovu kiseng hata kupiga pass ni nzuri ni shida sijui ilikuwaje mkawa manaisifia siku aliyocheza na arsenal au wale jamaa walijua ni pre season bado
Naamini arsenal na bayern ndio timu pekee zilizoweza kuonyesha upinzani wa kweli kwa psg ukimuweka na Liverpool kidogo kwenye ile second leg ila timu ambazo hajakutana nazo na zinaweza kumpa pia challenge kali ni Chelsea pamoja na Barca
final naona sio nyepesi sana kwa psg japo utabiri wa...
chengine ni
Lower your expectations
wazee wanamsemo wao usianze kuhesabu faida kwenye biashara kabla ya hio pesa kuingia mkononi
yani usianze kuwaza kumiliki ma vitu makubwa kabla hujapata hio mentality ya kuendesha hayo maisha ya ufahari kama unayotaka mfano umiliki wa majumba magari inaweza...
dah this can't be a coincidence nimetoka kuongea vitu vya muundo huu jana maswala ya money can't buy happiness na vingi kama ulivyoelezea na wewe umekuja kupita mule mule sijui ni nini tunaambiwa au taarifa gani inatujia kwa muundo huu kutoka kwa mwenyez mungu but one thing i can assure you is...
kumbuka hampo tena kwenye trial on run phase yani msimu ujao mnahesabiwa muwe kati ya watakao beba makombe tena yale makubwa soo muda wa kufuta visingizio ndio huu uzuri mko ready kufanya usajili so ndio muda sahihi wakuziba udhaifu wenu kwa kuchukua kilicho sahihi nasio kucheza kamali mfano...
Hivi nyie jamaa mmeona nini kwa huyo sesko mpaka kufikia kumfungia macho dogo gykoers dah mngejua huyo ndio missing piece yenu mko kama walevi na management yenu haipo serious utaskia wanafukuzia, tena another midfielder dah
alafu hapa wanakuambia next season wao fainali uwakika wakipata striker yani hawaoni kama msimu mbovu wa wengine ndio silver lining yao
Man city Bayern Barca Madrid yani kama vile Hawa watu hawata sajili kuja kukompete vizur pia ukiangalia majeruhi wao wanao rudi msimu ujao hata hao psg...
Hawa mashabiki wa arsenal watafanya vinywaji vikali kama kvant zipigwe marufuku we mtu gani anaejitambua anakosa kuona tu kuwa wao mwisho wao ulifikia hapo yule hamiss 77 masingeli hatumuoni humu alisha jua walipiga bomu mochwari pale kwa madrid ila hawa wakajiona kama washa maliza kila kitu
Si tulisema humu currently psg wapo inform kuliko arsenal ila false hoppers humu wakawa wanaitangaza fainali yao na inter milan na kwenda mbali zaidi kusema washalibeba kombe hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.