Hii nchi ni kama shimo atakaeiingia hatoki na aliekwepo hatoki , kwanza hata kuipata Hio passport ni Job true true (Kazi Kweli Kweli) na ndo shida inapoanzia, mtu unajikuta unamaliza akiba zako zote kuitafuta passport na ukishaipata hela ya kupaa imeisha
Ikiwa sisi hatujali Ardhi yetu unataka nani aijali? Kwani hao waarabu bila kukaribishwa wangekuja vp, mimi nimeshuhudia baadhi ya misaada na na visima vilivyochimbwa na waarabu
Jamani mnataka ukweli Tanzania si nchi ya Amani kama tunavosema , wizi kila sehemu mpaka mtu unakua huna freedom ya kutembea kwa kuogopa kukabwa
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
arsenal imekua kichwa cha mwendawazimu , Yaani tokea mashabiki walikua wanaandika in Wenger we trust mpaka sasa ni full kuzomea
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.