kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,029
- 6,559
- Thread starter
- #61
Kaka pole sana hayo ndiyo maisha, maana yake ni kwamba maisha ni sahani iliyojaa mseto wa mambo yasiyotambulika kwetu wanadamu.
USHAURI WANGU: Kukubali tatizo ni nusu au robo tatu ya utatuzi wake. Pia kukana ukweli na ualisia wa jambo ni kujidanganya nafsi, na mwisho huwa majuto. Nakuomba usishindanae na hali halisi ya kile kinachokuja mbele yako. Achana na huyo dada atakupotezea muda wako bure, focus kwenye mambo yako ya kimaendeleo zaidi na siku moja atakuja akupendaye, hakupendi huyo........ kwake ulikuwa unamsaidia kupass time ili apate chaguo lake. nakuomba sana kijana mwenzangu kupenda najua ni janga kama utakose kuchagua.......mwombe mungu atakujalia kupata mke na sio mchumba.
akhsante sana..tatzo nlilo nalo ni jinsi ya kumsahau.