Tunahitaji nini, maarifa ya mtu, cheti au jina?

Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!
Mnavyo waonea wenzenu kuwa wanavyeti feki mpo sahihi,Ila nyie mmeguswa mmajifanya hamuhitaji vyeti ila maarifaa.[HASHTAG]#pumbafu[/HASHTAG] sana ninyi.Kuna watu walikuwa wametumia vyeti vya watu kujiendeleza kielimu na kupata kazi na walikuwa wanafanya kazi haswa na wamejawa na maarifa plus utumishi wa miaka kadhaa serikalini, LAKINI baada ya sakata hili la vyeti uhakiki wakaacha kazi plus kupoteza stahiki zao.Leo hii Mmeguswa nyie kuhusu taaluma zenu WATU wanapotea kisa kuulizia taaluma zenu mmezipataje ???[HASHTAG]#where[/HASHTAG] did you defend your thesis MR.X?? MR.Y kuna habari kuwa umepata zero kuanzia la saba mpaka chuo!!!!
Sasa hivi eti mnyonge mnyongeni....nyoooooooooooooooooooooooooo!!!!!
 
Pale bungeni tunaomba napo necta itusaidie, naamini tuna majina mengi yasiyokuwa na hasiri sahihi. Hili lisiwe jambo la panic, kukomoa wala chuki kati ya watu na masrahi yao.

Tunategemea majina mengi ya wabunge yachunguzwe ili tuisafishe nyumba yetu
 
Maarifa lakini hatuhitaji ukanjanja....

Ukiwa na ukanjanja maana yake unataka kuliibia taifa kwa kutumia ukanjanja,hata ivo ameshaibia taifa fedha za mikopo ya watoto masikini anapewa kanjanja...

Pengine paul mwenyewe angefanya vizuri zaidi sio hili kanjanja...(jiandae kupimwa tezi dume)
 
Kinachotakiwa hapo ni haki ifanye kazi kama ilivyofanya kwa wengine
 
Eventually, huwezi kupata nguo nzuri kutoka katka pamba iliyooza (2016)
 
Eventually, huwezi kupata nguo nzuri kutoka katka pamba iliyooza (2016)
 
Tunamhitaji Mr Y, akiwa na Chet akipelekwa training atapata maarifa

Ndio maana serikalini kuna training kwa mjibu wa sheria ya utumish wa uma
 
Maarifa ya bwana daud ni madogo mno hayaakisi ufaulu uliopo kwenye cheti cha bwana paul christian, hapo ndipo pananipa shaka
 
Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!
Yote hangaika nayo lakini kumbuka kwamba UDANGANYIFU HAUKUBALIKI .
 
kwa mfumo uliopo sasa hivi tunahitaji cheti plus maarifa. maarifa bila cheti halali hutufai. nenda kachunge ng'ombe wako kwa maarifa ni kazi pia.
 
Kamuulize magufuli na ndalichako.maana walikimbizana na walimu kisa ishu iyo iyo wengine walikuwa wanakaribia kustaafu sijui pensheni zao itakuwaje.
 
Back
Top Bottom