wakati niko kidato cha tatu mwalimu wangu wa somo la hisabati aliondokea kunipenda sana sababu nlifanya vyema katika somo lile..akawa wakati mwingi ananiita pale ofisini na kunipa kazi kidogo kidogo kama vile kusahihisha homework za wanafunzi wa vidato vya chini huku tukipiga stori za kawaida..kama kawaida,wanaume wengi tunapopata mapendeleo kutoka kwa mwanamke cha kwanza kuja akilini ni kuwa lazima huyu mwanamke anakuelewa ila hataki kukueleza moja kwa moja..ikawa ndo mawazo yangu kwa muda...ipo siku nikaamua kumtongoza ila hapo ndo nikaharibu..yaani iweje mtoto rika na wanangu kufikia kiwango hata ukanitongoza..je huoni mimi mamako wewe mvulana?..yani nilijaribu kuomba msamaha ila wapi..nikatumwa kwa mkuu wa shule nikasususia..akaenda mwenyewe kushtaki..yaani nlitimuliwa bila hata ya kupewa barua..ikawa nikionekana tena huko itakuwa balaa...nlijutia sana kuzoeana kwangu na huyu mwalimu...ila alikuwa mrembo kupindukia...kama angenikubali hakika singesita kuchukua fursa...utundu wangu uliniponza..

Njoo kwangu. Mi ni domo zege, sijawahi kutongoza. Kwa hiyo sijawahi kuwa refected. Don't make one of the rejectsWanaopatikana wengi ni rejects kama mimi!!! Rejects wawili tukikutana itakuaje?
Umekosea mkuu,sijawahi na nilishapita umri wa kuwa mikononi kwa walimu.Its just that naona kama ni kupungukiwa maadili kulikopitiliza kumtongoza/kufanya mapenzi na mwalimu kama baadhi wanavyojisema humu.Heshima Mkuu, Magunga.
Katika saiki (Psyche) yangu nimegundua hivi, Umeshawahi kutembea na Walimu wako tena sana.Kinachokupata sasa ni "Tragedy of mis-calculation" hivyo umekuja kutafuta uungwaji mkono wa ulichokifanya.Ukiungwa mkono na wengi basi utajiona ulikuwa sahihi, usipoungwa mkono basi utajiona ulikosea sehemu.
Ni maono yangu, Mimi si nabii.You may agree or dis-agree.
Muulize mgombea uraisi wa Ufaransa atakupa mbinu!Katika maisha yangu ya shule niliwaheshimu mno walimu wangu.Haikuwahi kutokea haya siku moja nikawaza kumtongoza mwalimu wangu.
Ukipitia baadhi ya thread humu utagundua kuwa kuna watu ambao wameshawahi kufanya mapenzi na walimu wao na inaonekana sio issue!Jambo hili linanishangaza!Unaanzaje kumtongoza? Au yeye ndiye anajenga mazingira ya kutongozwa?
Am reject tooWanaopatikana wengi ni rejects kama mimi!!! Rejects wawili tukikutana itakuaje?
Sijasema rejected... Rejects! Mtu aliekataliwa na wengine!Njoo kwangu. Mi ni domo zege, sijawahi kutongoza. Kwa hiyo sijawahi kuwa refected. Don't make one of the rejects
Aaa wapi!!Am reject too
Nimekupata mkuu.Sijasema rejected... Rejects! Mtu aliekataliwa na wengine!
mkuu huoni haya mambo yalitatiza masomo yangu kwa njia fulani?..hata kupata barua ya transfer ilikuwa shida mkuuHukukosea angala uliondoa dukuduku lako la moyoni.



mkuu hili jambo lilinikuta...wewe wanicheka sasa ivi ila nilitatizika sana
Mkuu pole Lakini huyo mwalimu alichukua uamuzi sahihi.wakati niko kidato cha tatu mwalimu wangu wa somo la hisabati aliondokea kunipenda sana sababu nlifanya vyema katika somo lile..akawa wakati mwingi ananiita pale ofisini na kunipa kazi kidogo kidogo kama vile kusahihisha homework za wanafunzi wa vidato vya chini huku tukipiga stori za kawaida..kama kawaida,wanaume wengi tunapopata mapendeleo kutoka kwa mwanamke cha kwanza kuja akilini ni kuwa lazima huyu mwanamke anakuelewa ila hataki kukueleza moja kwa moja..ikawa ndo mawazo yangu kwa muda...ipo siku nikaamua kumtongoza ila hapo ndo nikaharibu..yaani iweje mtoto rika na wanangu kufikia kiwango hata ukanitongoza..je huoni mimi mamako wewe mvulana?..yani nilijaribu kuomba msamaha ila wapi..nikatumwa kwa mkuu wa shule nikasususia..akaenda mwenyewe kushtaki..yaani nlitimuliwa bila hata ya kupewa barua..ikawa nikionekana tena huko itakuwa balaa...nlijutia sana kuzoeana kwangu na huyu mwalimu...ila alikuwa mrembo kupindukia...kama angenikubali hakika singesita kuchukua fursa...utundu wangu uliniponza..
Hapo ndo cjajua ila kuna 1nilie mfaham aliukwaaVipi wanafunzi aliotembea nao wazima?
Ooh!!! Nimekuelewa!!! Ila kwa kujieleza huku wewe si reject unanizuga tu hapa!!!Nimekupata mkuu.
I poroposed to her but she rejected me. Many girls have rejected me since then.
So I'm a reject.
Kwenye hiyo post nilimaanisha sijawahi kukataliwa kwa sababu siwahi kutongoza. Sitaki nije kuwa ni miongoni mwa wakataliwa
Haahaaa.



Abee
Ulichonifanyia Mungu anakuona..!Abee
Kwani wewe unamtaka reject au asiye reject? Usirushe ngumi lakiniOoh!!! Nimekuelewa!!! Ila kwa kujieleza huku wewe si reject unanizuga tu hapa!!!![]()