Kumtongoza mwalimu wako.

Kumtongoza mwalimu wako.

Zamani walimu walikua watu wenye umri mkubwa sasahivi mwalim ana miaka 25 to 35 unategemea nini
 
wakati niko kidato cha tatu mwalimu wangu wa somo la hisabati aliondokea kunipenda sana sababu nlifanya vyema katika somo lile..akawa wakati mwingi ananiita pale ofisini na kunipa kazi kidogo kidogo kama vile kusahihisha homework za wanafunzi wa vidato vya chini huku tukipiga stori za kawaida..kama kawaida,wanaume wengi tunapopata mapendeleo kutoka kwa mwanamke cha kwanza kuja akilini ni kuwa lazima huyu mwanamke anakuelewa ila hataki kukueleza moja kwa moja..ikawa ndo mawazo yangu kwa muda...ipo siku nikaamua kumtongoza ila hapo ndo nikaharibu..yaani iweje mtoto rika na wanangu kufikia kiwango hata ukanitongoza..je huoni mimi mamako wewe mvulana?..yani nilijaribu kuomba msamaha ila wapi..nikatumwa kwa mkuu wa shule nikasususia..akaenda mwenyewe kushtaki..yaani nlitimuliwa bila hata ya kupewa barua..ikawa nikionekana tena huko itakuwa balaa...nlijutia sana kuzoeana kwangu na huyu mwalimu...ila alikuwa mrembo kupindukia...kama angenikubali hakika singesita kuchukua fursa...utundu wangu uliniponza..
 
Heshima Mkuu, Magunga.

Katika saiki (Psyche) yangu nimegundua hivi, Umeshawahi kutembea na Walimu wako tena sana.Kinachokupata sasa ni "Tragedy of mis-calculation" hivyo umekuja kutafuta uungwaji mkono wa ulichokifanya.Ukiungwa mkono na wengi basi utajiona ulikuwa sahihi, usipoungwa mkono basi utajiona ulikosea sehemu.

Ni maono yangu, Mimi si nabii.You may agree or dis-agree.
Umekosea mkuu,sijawahi na nilishapita umri wa kuwa mikononi kwa walimu.Its just that naona kama ni kupungukiwa maadili kulikopitiliza kumtongoza/kufanya mapenzi na mwalimu kama baadhi wanavyojisema humu.
 
Sijawah kufanya icho kitu ila kuna mwalim nilimpenda ilikuwa siri yangu tu ya moyon teacher mwenyewe alikuwa wa geography
 
Katika maisha yangu ya shule niliwaheshimu mno walimu wangu.Haikuwahi kutokea haya siku moja nikawaza kumtongoza mwalimu wangu.
Ukipitia baadhi ya thread humu utagundua kuwa kuna watu ambao wameshawahi kufanya mapenzi na walimu wao na inaonekana sio issue!Jambo hili linanishangaza!Unaanzaje kumtongoza? Au yeye ndiye anajenga mazingira ya kutongozwa?
Muulize mgombea uraisi wa Ufaransa atakupa mbinu!
 
Sijasema rejected... Rejects! Mtu aliekataliwa na wengine!
Nimekupata mkuu.
I poroposed to her but she rejected me. Many girls have rejected me since then.
So I'm a reject.

Kwenye hiyo post nilimaanisha sijawahi kukataliwa kwa sababu siwahi kutongoza. Sitaki nije kuwa ni miongoni mwa wakataliwa
Haahaaa.
 
Mwalimu wangu Evelyn Salt njoo huku uje kujibu tuhuma zako za kubaka wanafunzi wako wa kiume!!
 
wakati niko kidato cha tatu mwalimu wangu wa somo la hisabati aliondokea kunipenda sana sababu nlifanya vyema katika somo lile..akawa wakati mwingi ananiita pale ofisini na kunipa kazi kidogo kidogo kama vile kusahihisha homework za wanafunzi wa vidato vya chini huku tukipiga stori za kawaida..kama kawaida,wanaume wengi tunapopata mapendeleo kutoka kwa mwanamke cha kwanza kuja akilini ni kuwa lazima huyu mwanamke anakuelewa ila hataki kukueleza moja kwa moja..ikawa ndo mawazo yangu kwa muda...ipo siku nikaamua kumtongoza ila hapo ndo nikaharibu..yaani iweje mtoto rika na wanangu kufikia kiwango hata ukanitongoza..je huoni mimi mamako wewe mvulana?..yani nilijaribu kuomba msamaha ila wapi..nikatumwa kwa mkuu wa shule nikasususia..akaenda mwenyewe kushtaki..yaani nlitimuliwa bila hata ya kupewa barua..ikawa nikionekana tena huko itakuwa balaa...nlijutia sana kuzoeana kwangu na huyu mwalimu...ila alikuwa mrembo kupindukia...kama angenikubali hakika singesita kuchukua fursa...utundu wangu uliniponza..
Mkuu pole Lakini huyo mwalimu alichukua uamuzi sahihi.
Kipindi fulani mke wangu alikuwa mkufunzi kwenye chuo fulani. Mwanachuo wa mwaka wa pili akamwandikia barua kumtongoza!Mke aliponionyesha nikakasirika kweli.Nikamshauri atoe taarifa kwenye uongozi wa chuo.Yule mwanachuo alifukuzwa huku amebakiza Sikh chache kuingia kwenye mtihani wa mwisho.Alikuwa ameshafanya graduation.
 
Nimekupata mkuu.
I poroposed to her but she rejected me. Many girls have rejected me since then.
So I'm a reject.

Kwenye hiyo post nilimaanisha sijawahi kukataliwa kwa sababu siwahi kutongoza. Sitaki nije kuwa ni miongoni mwa wakataliwa
Haahaaa.
Ooh!!! Nimekuelewa!!! Ila kwa kujieleza huku wewe si reject unanizuga tu hapa!!!
 
Back
Top Bottom