Ee unafikiri pesa inakaa tu mpesa kuwapa watu faida, pesa inazunguka kuleta myingine mkuu, umeweka laki mpesa mwezi, unapata gawio la 2000, ungeizungusha hiyo unapata kiasi gani
Nilifanya nao niashara kama mara 4 hv, marabya mwisho walizingua na mpaka leo sijaupata mzigo wangu, kwenda pale kwa ofisi zao kisiwani masaki nlikutana na kidada kimoja kinamajibu kama choo, nikaachana nao, ingawa nilipanga kuwapeleka mahakamani badae nikapotezea
Hizi hesabu huwa zinatengeneza faida sana wakati wa kutengeneza idea, ila ukianza practice things are different, kwa faida hiyo kwa siku wengi tungekuwa tunauza mahindi, kwanini nikaajiliwe na kulipwa laki 5 wakati naweza kutengeneza mamilion kwa mwezi 90,000x30=2,700,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.