Asante M-PESA kwa gawio

Asante M-PESA kwa gawio

6FM42G3IC7G Confirmed.You have received Tsh155.00 from 219777 - M-PESA FAIDA on 22/6/19 at 7:31 AM New M-Pesa balance is Tsh952,378.78.
 
690

Na hapo kila siku lazima nitumie MPesa

Wale wa mwezi mara moja sijui wamepewa nini
 
Mimi 1250 ila kuna mwaka nilipata 9220 nahisi ukitumia sana M-PESA gawiwo linakuwa kubwa maana kuna mwaka nilitumia sana M-PESA issue za ujenzi
 
Imethibitishwa.Umepokea Tsh722.00 kutoka 219777 - M-PESA FAIDA tarehe 23/6/19 saa 6:54 AM Salio lako ni M-Pesa ni Tsh.
 
6FM62G3BIBA Imethibitishwa.Umepokea Tsh190.00 kutoka 219777 - M-PESA FAIDA tarehe 22/6/19 saa 6:51 AM Salio lako ni M-Pesa ni Tsh190.00
 
Ee unafikiri pesa inakaa tu mpesa kuwapa watu faida, pesa inazunguka kuleta myingine mkuu, umeweka laki mpesa mwezi, unapata gawio la 2000, ungeizungusha hiyo unapata kiasi gani
Mimi nilipata jana 26240 na leo nimepata 8900. Ili uweze kupata gawio la kutosha jenga utamaduni wa kuweka pesa kwenye akaunti yako bila kutoa angalau kwa mwezi mmoja. Km unaingiza pesa na kuzitoa hata ungefanya miamala ya thamani kubwa kiasi gani haitakusaidia kupata gawio kubwa. Nawashauri mjitahidi kuweka akiba kwa kuweka pesa kwenye akaunti zenu kupitia wakala M-PESA na si kutumiwa na mtu. Pesa ya kutumiwa haihesabiwi. Zile pesa unazoweka akiba kwenye akaunti yako huwa zinaingizwa kwenye mzunguko wa biashara na ndo maana unapata gawio. Mfumo wa mpesa ni mfumo uleule wa bank.
 
Back
Top Bottom