Kwani part time ni mshahara?
Elewa hao jamaaaa walikua ni wezi wanakua kua SERIKALI imewaajiri lkn chuo nacho kinawalipa mshahara so kwa mwezi mshahara 2 kazi 1
Kuakaa kimya wakati mwengine ni hrkima
HUYU MUNGA ANATABIA MBAYA
WENZAO WATUWAZIMA WA HESHIMA WANAANDIKIANA BARUA AU HT KUALIKANA VYAKULA WANAAMBIANA UKWELI YANAISHA
MAASKOFU WANAKOSOANA MITANDAONI
MUNGA anatuketea mambo ya juma lokole huyu
Huwezi kumuheshimu mtu afu unamkosoa mtandaoni...
Wasukuma watabe wa ugali
Wapare watabe wa MAKANDE
Wachaga wao mtori
Wahaya ndizi tuu
Jamii za watu km hawa watawezaje kupika pilau?
Mwanamke anapika ugali anakula na mtindi afu afu anasifia mtamuuu
Hajui kupika mboga huyu
Ila pwani jamani tuwaaache tuuu
Atakaebisha t
Post hii...
Huyu mtu asie kuwa na demu ndo ana pumuliwa?
Labda alikatwa wakt anafanyiwa MC? au ana IMPOTENCE?
km kutokua na demu unaliwa mapad**** tuwahisije?
KM kuna ushahidi wa wazi anapumuliwa na fulani imethibit ok
laa sivyo ni kumdhulumu hadhi ake.
JAMAA LANISHANGAZA KUTAFUTA kulelewa,
Na ujumbe limepaza hivi huyu amelewa?
Kwa mami wende jibanza
Eti kisa kulelewa!
Shida yako ipi kwanza
Unataka kuolewa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.