Nay wa mitego: Mimi siimbagi uwongo, Mimba ya wema iliyeyuka, Ommy dimpoz tumesikia anapumuliwa,

Kasema dimpoz anapumulia?
Kama kuna kaukweli hapa

Sababu dimpoz kWa wanaofahamu ajawai kua na demu wake toka utotoni

Lisemwalo lipo mama halipo laja
 
Huyu mtu asie kuwa na demu ndo ana pumuliwa?

Labda alikatwa wakt anafanyiwa MC? au ana IMPOTENCE?

km kutokua na demu unaliwa mapad**** tuwahisije?

KM kuna ushahidi wa wazi anapumuliwa na fulani imethibit ok
laa sivyo ni kumdhulumu hadhi ake.
 
Afu mwanaume kuwa mbeambea kuuongeaongea ya watu ni ukike ukike

Wanaume wanajulikana kwa mapene sio kwa umbeaumbea
 
.. Zaidi ya watu 6 hapa wamesema imebuma, wewe peke yako ndo hukubali. Remember numbers don't lie..
Iko hivi kwa hapa bongo definition ya wimbo kubuma inaweza ikawa na maana tofauti maana wapo wanaosema pia wimbo wa Rich mavoko 'kokoro' umebuma. Wimbo kubuma inakuaje kwanza?
 

Msanii Ney wa mitego amedai anaimba ukweli ndio maana hata aliyoyasema kwenye wimbo wake wa shika adabu yako amesema yamekuja kuthibitika ametolea mfano kuwa wema sepetu mimba yake iliyeyuka kama alivyodai, Ommy dimpoz akatajwa anapumuliwa na diamond na shetta gari yake ya milioni 100 nayo ikayeyeuka
 

Msanii Ney wa mitego amedai anaimba ukweli ndio maana hata aliyoyasema kwenye wimbo wake wa shika adabu yako amesema yamekuja kuthibitika ametolea mfano kuwa wema sepetu mimba yake iliyeyuka kama alivyodai, Ommy dimpoz akatajwa anapumuliwa na diamond na shetta gari yake ya milioni 100 nayo ikayeyeuka
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom