Recent content by Abrielle

  1. A

    Kwa mahitaji ya simu

    Huawei P7 min na Sonny Experia Z1 na huawei P6 zinaweza kuwa bei gani?
  2. A

    Natafuta Rafiki wa Kike

    Mungu ana namna nyingi ya kukutanisha watu, utampata tu. all the best..!
  3. A

    Fungeni kwa kuonekana mwezi

    Nawatakia mfungo mwema, waislam wote, walioanza leo na watakaoanza kesho, kikubwa Amani. Ramadhan Kareem..!
  4. A

    Mahusiano

    All the best mpendwa, utampata tu usiogope kukatishwa tamaa.
  5. A

    Kama wewe,utajisikiaje juu ya mkeo au mumeo

    Itabidi kwanza ujiulize, unaishi vp na mke wako. either kuna namna una mtreat ambayo ina msababisha asiwe comfortable.
  6. A

    Msusi wa yeboyebo

    Uko maeneo gani?
  7. A

    Unamshauri nini Ally Kiba? Mwambie lolote..

    Ajitambue, halafu achukue hatua. anaweza na watu anajua hilo.
  8. A

    Bei za Ving'amuzi Azamtv

    Uliyetuletea hii habari, tunaomba kujua channel zilizoko. Maana kuna tetesi kuwa ITV wamekataa kuwepo (sijui ni kweli au la)
  9. A

    Tangazo hili ni kiboko aiseeeeeeeeeeeee

    teh teh! mi nilifikiri inapatikana?
  10. A

    "You Are The Woman Of My Life"

    Wow! naamini yupo na atakusikia. all the best!
  11. A

    Whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat!

    hapo swali gumu ame solve vp?
  12. A

    Duh jide bhaaaaaas,mwacheni anaconda

    No one is perfect na siku zote ukweli una nguvu. Hongera Jide, sio siri unafanya vizuri katika kazi zako. hayo mengine ni ubinadamu tu na yataisha.
  13. A

    Tazama picha 22 zikionyesha mwili wa Albert Mangwea ukisubiriwa kupokelewa hivi sasa

    Aisee..! so sad. Bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe. Poleni wote mlioguswa na msiba huu. Mungu awape faraja.
Back
Top Bottom