Emory Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 492
- 630
- Thread starter
- #21
Biashara nzuri na ya kweli ni ile inayofanyika kwa uwazi na kila mmoja aijue, hizi biashara za pm huwa siziamini sana any naomba kujua bei ya samsung galaxy s3&s4
Mkuu salaam kwako. Nafahamu wazoefu wa biashara hawawez wakawa na tatizo na hii format,mwisho wa siku utaomba nikuonyeshe hadi kiwanda na hadi mkataba wa biashara. Naomba uzoee kahali haka.nimeku pm na wewe