Asalam alaykum
HII NI TAARIFA YA JANA 27/6/2014 MAJIRA YA SAA 23:00 USIKU NILITUMIWA
Mwezi umeonekana Yemen na kwenye maeneo ya
Isiyolo na anahojiwa mtu Radio iman Tz, na Kenya
sheikh aliyeona anaitwa Sheikh Abdulazizi, ni
mdiri wa madrasa ya al salah, na mwingine ni
Abdullah Is-haka, 0720255517, na Abdullahi
Karam, 0721763704, hawa ni wa Kenya masjid
kambi garva, Salat 0702085623 unaweza ongea na
hawa waliouona maeneo ya Isiyolo. Hapa mjini
Morogoro tarawehe inaendelea Masjid Haqi.
Ramadhan kareem.