Mmmh na yule mnoko mgimwa matron lumumba east....sie wa PGM tuliokuwa tunalala mchana ili usiku kwenda msuli jiwe alikuwa nuksi kweli
Makyagio kwa bibi kwenye bill ya msosi..long time
U don't understand....hiyo Placards ina mdhihaki Trump coz he has always obsessed kuwa Obama was born in Kenya while the truth is he was born in Hawaii
Una uhakika hata hiyo microeconomics anajua nn mkuu?Mungu anakuona,ths platform hadi la saba wamo so usishangae kwann hajaelewa
Ths is just the beginning,unanunua ndege 6 unalipa cash in USD,unajenga reli with 75% material unaagiza uturuki in USD,muhindi anunui mbazi zako tena,umezuia...
Hiyo bronze ya mtanzania sio haba kwanza ukiangalia ni tofauti ya gold to bronze ni kama dakika 1 na sekunde 30 and atapata prize money kama 20000usd....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi akainua simu wakati dhamira yake nikuitafutia nguvu yakisheria kuipisha....I have seen hii kitu ya kukusanya maoni most of hayo maoni ni put on a show coz in really sense mtu wa nje hawezi kujua maoni yanaupande gani zaidi ya hao wenyw ewura so he got what he deserved....like...
Nani amekwambia hawezi kumfuta kazi?waziri wa maji anareport kwa waziri mkuu,yy ndio anaoversee the whole government activities.....so basically akona authority yakutengua
The thing is EWURA ako na interest sehemu nying,from tanesco to energy we use day to day!hawa wakurugenzi wanahudhuria vikao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.