Edward Lowassa ampongeza Rais Dr. John Magufuli

Edward Lowassa ampongeza Rais Dr. John Magufuli

Hapana Kuna Vyeo Kama ukivishika Utaendelea kuwa navyo


Balozi Hamis Kagasheki
President Obama
Secretary Hillary Clinton
Waziri Mkuu Lowassa
Judge Lubuva
President Bush
President Kikwete
Rais Mwinyi
Well said....ongeza jenerali mwamunyange,IGP mahita
 
Hatutaki pongezi za mafisadi!!
3a244a33a544e43e04004a2ad49b2d95.jpg
 
Walete katiba tu tupunguze kipengele cha kuwalinda viongozi wastafu.....!
 
Waziri Mkuu wa awamu ya 4 Ampongeza Dr. John Magufuli.


Mbona hujatanguliza neno "FISADI" kama kawaida yako? Hebu rekebisha heading hiyo! Isomeke "FISADI Lowassa!"

Mi-CCM kwa unafiki hamjambo!

Lowassa kaongea mengi mazito kuliko kumpongeza huyo jamaa yenu!
 
Bora yeye siyo wale wanaopewa mlungula na kuanza kukatisha watu tamaa kwa vitisho vya remedies of breaching of contract km vile wao tu ndo wasomi apa nchini.
 
Lowassa ameongea ukweli lakini hakutakiwa kumpongeza Raisi kwa sababu naye amehusika katika kupitisha sheria mbovu za mikataba ya madini.
hata yeye lowasa anahusika...wizi wote uliofanyika huwezi kumweka pembeni lowasa Wala magufuli
 
hili zee nalo likae pembeni tu

sasa hapo linatetea serikali zilizopita..before its too late chadema mjitenge na hili zee
 
Akizungumza na azam tv usiku aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema amesema anampongeza rais magufuli kwa hatua anazozichukua na ni hatua nzuri katika kuleta ustawi katika sekta ya madini.
Amesema suala hili si la kulaumiwa mtu mmoja au waziri mmoja, inawezekana huyo waziri alitekeleza maagizo ya baraza la mawaziri.
Source: Azam tv habari
 
Angenyamaza tu kutosema hayo ya mwishoni... angemalizia kwamba na hao mawaziri lazima walikuwa na mabosi wao shaaaaaa... ambao kama wapo waliopinga lolote hawakuweza kukataza kitu.

Yaani angesema Maraisi na wasaidizi wao wa juu VP na PM.

Kaza buti JPM, si ufungue tu makaburi waisoma namba naona wameanza kurefusha midomo sasa

Hongera kwako Mheshimiwa bila wewe hawana la kusema kutafuta kiki kama vile wataiona Ikulu.

Magufuli 2020

Magufuli oyeeeee
 
Balozi Hamis Kagasheki
President Obama
Secretary Hillary Clinton
Waziri Mkuu Lowassa
Judge Lubuva
President Bush
President Kikwete
Rais Mwinyi
....Shehe Kundecha, Askofu Mokiwa, Padri Karugendo, Brigedia Ngwilizi, Sipika Makinda, Koplo Milanzi,Profesa Shivji....
 
Back
Top Bottom