babilas25
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 483
- 361
Wanalishwa chakula cha kawaida na sio dawa za kukuzia kama zinatumika kwenye kukuHongera sana mkuu, niulize, eti samaki wa kufugwa wanalishwa madawa kama kuku wa kizungu?
Wanalishwa chakula cha kawaida na sio dawa za kukuzia kama zinatumika kwenye kukuHongera sana mkuu, niulize, eti samaki wa kufugwa wanalishwa madawa kama kuku wa kizungu?
Nilianza mdogo mdogo sana. Kwa mbeya gharama ya ujenzi si kubwa. Ukiwa na 4mil kwa mbeya waweza anza na bwawa moja la 12by12Ulitumia garama kiasi gani tangu uanze na faida imekaaje boss ili tupate moyo wa kuanza..
Wa kwangu wana 3kgNaomba kujua kidogo kuhusu kambale hasa uzito wao baada ya miezi sita.
Ni mbinu gani inafaa kutiririsha maji hasa unapoyabadili?
0624088590Weka namba ya simu
Kg ngap huyu??View attachment 607080 samaki wa miezi sita
Kuna wanaofika 1kg,Kg ngap huyu??
Hongera boss, hiyo kitu capital ni kama ngapi estimatedKuna wanaofika 1kg,